Nimeogopa

Sasa nimeshapata jawabu kwanini uchumi wa taifa hili unamilikiwa na wageni na kwanini taifa hili linaendelea kuwa masikini pamoja kuzungukwa rasilimali kila kona ikiwa wenyewe au wenyeji muda wote na mahali popote wanawaza kudinyana mithili ya kuku...watu tena hawana muda wa kujiuliza maswali maswali magumu kuhusu mustakabali wa maisha yao na taifa kwa ujumla...badala yake mawazo yanaongozwa ni hisia za viungo vya uzazi...GOD BLESS CHINA...
 
hiyo technic jamaa wanakosea, ilitakiwa mmoja mwanamme atoke kazini mapema, wabaki watu wawili yaani jamaa mmoja na kasinde, hapo ndio ingekuwa poa, sasa dem mmoja na wanaume wawili hiyo haiwezekani may be hawako serious
 
Jerrymsigwa said:
Unaogopa nn sasa kwani we bikira? Acha bwana, ukute ushakua na mahusiano kibaaaooo huko siku za nyuma!
Ungekua bikira una haki ya kuogopa, lkn kwa ww mmh huna sababu kbs eti Kama ni bikra au sio nayo alitakiwa kuiweka hapa kaka.
 

Acha umalaya wewe
 
Embu tupia kapicha basi tukuone kama kweli umeumbika ndo tuchangie ama kukuombea hiyo wiki iliyobaki
 
Mbona Kama Unataka Kutufikishia Ujumbe Wa Maumbile Yako Tu? Hayo Mambo Ofisin N Kitu Cha Kawaida N Utan, Be Strong Ila Ukiupokea Kwa Aibu Na Kushusha Macho Wataupata Udhaif Wako. Watakukanyaga Kweli. Na C Kwamba We N Mzuri Kupita Wasiokuepo Wanaume Wako Hvyo. Upokee Kama Utan Na Fanya Kaz Kwa Kujiamin, We Ni Secretary Dada?
 
bwana we jipendekeze kwa mmoja basi mwite baby baby huku unamyima wengine watakuita shemeji basi umekata mzizi wa fitna loh

Akijipendekeza c atampa sikiza bola tuongozane na mimi nikakuekee hishima watahadithiana tu hao
 
Naanzia wapi Kaside mie ujanja wangu wote habari ya kudinyana ofisini siiwezi aisee, mie huwa siendagi kwa mkopo wala siuzi, nafanya kitu roho inapenda kwa raha zangu. We endelea kuinjoi hilo game la ofisi mie siwezi hata jarobu kuonja

Aisee yani kudinye kimasihara usikubali yani hata lanch wanakutegemea aaagh hem kwa kuwadhoofisha hafu unipe habali
 
Hyo ofisi yenu inajihusisha na utoaji wa huduma gani?icje ikawa ni danguro!
 
Jiepushe nao ikiwezekana mwambie mlinzi wa hapo kazini kwenu kama wapo wawili mmoja awe karibu na wewe, vinginevyo wanaweza kukubaka

Kumbaka siorahisi wana test tu hao
 
bora uwape kwa kheri kuliko kuharibu status ya maisha yako

ofisi haina uongozi??
simu hakuna au huna namba za bosi??
huwezi kuwaambia waache huo ujinga??
kwanini unaendelea kuwaetea mazoea kama wanania mbaya na wewe??

check it out kiutan utan watakubaka na kwa mujibu wa maandishi yako hapo juu hutochukua hatua yoyote

am walking away
 
hapa mi naona we ndiyo una nyeg.e, tena unatamani threesome ya hatari!
 

Kumbe una miguu mizuri, na mimi huo si ndo ugonjwa wangu! sasa ?
 
Usiwe mchoyo kizuri kula na wenzio lol am just kidding!
 
Kasinde, inaonekana hujawaelewa wanaume vizuri. Sio kwamba kila anaekusifia maanake anakutamani. NO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…