in ha
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 1,722
- 3,877
Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kavurugwa na siasa huyuu... siasa mbaya sana.
Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka
kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
Ushauri kuntu kabisa huu ShadeeyaHiyo namba mbili inaonyesha ni jinsi gani wewe na mkeo hamna mawasiliano kitu ambacho inawabidi mubadilike.
Labda nikwambie tu ndoa nzuri ni ile yenye masikizano na hata maelewano hivyo sio mbaya mkajijengea tabia ya kuzungumza na huyo mkeo kabla hajapika mkaelewana kile chakula ambacho kila mmoja atakifurahia kwa siku hiyo ndo kikawa kinapikwa.
Na ndio ndoa zipo hivyo, hapo mtaifurahia kila siku.
Atakuja kuwa mfano mmbaya kwa watoto maana vitoto vikiambiwa vikaoge vitasema mbona baba leo hajaogahadi kuoga mdau
Mmemaliza field?Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1: Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2: Kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3: Kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4: Kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Wewe bado ni kijana wa kiume!! Wanaume hatuoni hizo kama ni kero ndani ya ndoa.Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1: Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2: Kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3: Kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4: Kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Wewe! Beberu ndio jina langu humu kwahiyo mimi nanuka?!Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
Bora hata ungemwita mchafukoge!! Au sio mshirazi mwenzangu?ndio ni chanongo huyo yani mchafu
Sasa Kama huongi unategema Nini...Makwapa yanunuka Kama beberu..Wewe! Beberu ndio jina langu humu kwahiyo mimi nanuka?!
Jokes!!
Hujanielewa.Sasa Kama huongi unategema Nini...Makwapa yanunuka Kama beberu..
.jitahidi kuoga mkuu
Aiseeeeee kwaiyo na mm unanishauriiii nisioe kabsa sioNina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1: Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2: Kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3: Kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4: Kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Kwa Waislam sio pingu ni kama tuu, inawezekana kuongeza wengineNdo maana ndoa ikaitwa pingu za maisha...
Kaja kuomba ushauri banaUtasema alilazimishwa kuoa,
Halafu kama kitu hupendi si unamwambia mwenzako kuliko kuja kulalamika mtandaoni
😂😂😂hilohilo chanongo linamfaaBora hata ungemwita mchafukoge!! Au sio mshirazi mwenzangu?
hilohilo chanongo linamfaa