Nimeoa Mrangi

Nominii

Member
Nov 24, 2022
99
193
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho.

Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa nimemkuta ni 'og' hajawahi guswa. Kamaliza chuo kikuu ana miaka 24.

Hii ni kigezo tosha kuwa jamii inabadilika ama ndiyo bahati nasibu?
 
Hongera sana
 
Barabara ya TARURA umeikagua?
Halafu kumbe wewe bado wakuja, hujawahi kuona zile bikira kule Tanga za wanawake waliokwisha toa mimba zaidi ya moja?
 
fungua mlango ili umwamini kisha aanze vimbwanga vyake. siku ukipikiwa kuku kwao kondoa ujue ndiyo mambo yanaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…