Msiba wa Taifa
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 128
- 53
Jamani hivi ni kweli mwaka huu mpaka kozi za afya hatupati mikopo au?
Mbona mpaka sasa kimyaa.!!
Chuo kimefunguliwa sijaripoti chuoni?
Wenzangu washaanza kusoma!!
Je serikal mnatuangalia vp?
Jaman tuanzish maandamo ya Amani mpaka Loan Board !!
SIAMINI KINACHOENDELEA.
Mbona mpaka sasa kimyaa.!!
Chuo kimefunguliwa sijaripoti chuoni?
Wenzangu washaanza kusoma!!
Je serikal mnatuangalia vp?
Jaman tuanzish maandamo ya Amani mpaka Loan Board !!
SIAMINI KINACHOENDELEA.