Msiba wa Taifa
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 128
- 53
- Thread starter
- #21
Sawa nashukuru ila tupo kama 100 tuliokosa first year.Hujasema muhimbili unasoma nini?na umepata dv ngapi?ili tuvompere na unachokisema
Sawa nashukuru ila tupo kama 100 tuliokosa first year.Hujasema muhimbili unasoma nini?na umepata dv ngapi?ili tuvompere na unachokisema
Jamani hivi ni kweli mwaka huu mpaka kozi za afya hatupati mikopo au?
Mbona mpaka sasa kimyaa.!!
Chuo kimefunguliwa sijaripoti chuoni?
Wenzangu washaanza kusoma!!
Je serikal mnatuangalia vp?
Jaman tuanzish maandamo ya Amani mpaka Loan Board !!
SIAMINI KINACHOENDELEA.
Wanataka karo nusu mkuu laki 9 na direct cost laki 1.2 jumla kama milioni moja hzo pesa sina.Nenda ukaripoti chuo na direct cost,kuna wenzio wengi tu washafika na swala lenu linafuatiliwa na serikali ya wanafunzi chini ya Bujiba,
Nenda ukaripo mdogo wangu
Hata akifuatilia siwez pata maana loanboard wameniambia hawatoi tena batch ingine labda niappealNenda ukaripoti chuo na direct cost,kuna wenzio wengi tu washafika na swala lenu linafuatiliwa na serikali ya wanafunzi chini ya Bujiba,
Nenda ukaripo mdogo wangu
Hii comment siyo fair bila kujali upande uliopigia kura au la.Wewe na wazazi wako si mliichagua CCM acha muisome namba
Wametangaza wapi kakaangu?Kuweni wavumilivu washatangaza hawajamaliza kutowa mikopo bado!
Pesa ndo tatizo mkuu.Kwa ninavyo jua: Muhimbili ndio watu huwa wanakosa mkopo lakini chuo chenyewe huwa kinafanya jitihada za haraka kuhakikisha wale waliokosa mkopo wanapata! Nacho weza kukushauri Nenda muhimbili lipa ada ya nusu mwaka yaani laki 9 na michango mingine mingine then pale kupitia waziri wa Mikopo mtaandika majina yenu na Semister ijayo mnakuwa mmepata mkopo wenu!!!
Kikubwa usikate tamaa na kuanza kulia lia kuwa umechaguliwa muhimbili na huna Mkopo wewe Nenda pale pale chuo jisarii hicho ndo cha muhimu mengine yataKaa sawa




Unafutwaje zeheby.Futa uzi sasa dokta