Jamani leo nimenunua soda ndani yake nimekuta mabaki ya mshumaa.wapi nianzie kuishaki coca cola tanzania?msaada nimechukha sana kwani nilinunua klet nying na soda 1 ndo nimekuta ina uchafu
mkuu labda glass uliotumia ndio ilikuwa chafuJamani leo nimenunua soda ndani yake nimekuta mabaki ya mshumaa.wapi nianzie kuishaki coca cola tanzania?msaada nimechukha sana kwani nilinunua klet nying na soda 1 ndo nimekuta ina uchafu
ili upate fidia ya kisheria (redress) sharti kwanza uthibitishe kwamba umeathirika kwa tukio hilo. Kama umeona tu kipande cha mshumaa, so what. Ingekuwa tofauti kama ungemeza huo uchafu (bila kujua) na matokeo yake ukapata madhara fulani. Lakini hivyo ilivyo, the most u can get ni kubadilishiwa hiyo soda na oral apology kutoka coca cola!
Mimi ninayo na sijaifungua, nangojea tu
siku moja najua nitakwaa bingo tu mkuu,
nikimpata hata mtikila namuuzia yeye aende
nayo mbele.