Hongera! uzi huu ungenogesha na kapicha sasa mkuu mfano mimi siaminiNdo hivyo tu, mitumba imenichosha ngoja nami nijaribu upepo wa huku
watanzania ni matomaso hujui hilo kamandaUmekuwa Thomas
Ungesubiri promotion ya Dar 25.May punguzo la 80%Ndo hivyo tu, mitumba imenichosha ngoja nami nijaribu upepo wa huku
Wewe ni mhaya nafikiri...Ndo hivyo tu, mitumba imenichosha ngoja nami nijaribu upepo wa huku
Ungesubiri promotion ya Dar 25.May punguzo la 80%
Ungelipa 24,000 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mbona mda, hapa jf, sema ujawahi sadiki katika macho yakoHiyo tabia ya x na tiki umeanza lini? Umekuwa bibi fox