Nimenunua HDD zimeanza kuandika IDE Device Failed naombeni msaada

Nimenunua HDD zimeanza kuandika IDE Device Failed naombeni msaada

Tzhacker 000

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
659
Reaction score
690
Wakuu Habarini Poleni na Majukumu,

Ebana Nina tatizo hapa nahitaji msaada kwa yoyote mwenye Uelewa Zaidi juu ya Hili Jambo..

Juzi kati hapa mwezi wa Pili Nilinunua HDD mbili Zote TB 2 Kampuni ni (SEAGATE) na Kuweka katika mashine yangu.

HP ELITE DESKTOP Core i5 Hazikupita hata wiki mbili Zile HDD zikaanza shida na Mwisho wa Siku zikaandika IDE DEVICE FAILED na kuacha Kusoma kabisa, nilirudi Pale dukani nilipozi chukulia nikabadilishiwa Zile HDD (nilihisi zilikuwa ni Mbovu tangiapo) basi nikapewa Zingine Mbili za Hivo hivo SEAGATE. Lakini nazo Hazikumaliza hata Mwezi tatizo likajirudia kama zile za Mwanzo (lile duka wakagoma Kubadilisha tena ikabidi nizipaki tu)

Mwezi wa Tatu juzi tu hapa nikaagiza TB 2 Nyingine kutoka Mwanza zile za kwanza Nilichukulia Dar Basi ikaja nayo ni SEAGATE kama zile zingine, basi nimeitumia Mpaka leo jion Hivi Kuna Muda Desktop yangu ili Stuck nikaizima kuja Kuiwasha Pale katika boot ili iamke ukaja tena ule ujumbe kama kipindi kile IDE DEVICE FAILED Press F1 to Boot basi nika Press mashine ikawaka ila Ile HDD haikuonekana tena ndo ikawa imekufa hivo

Sasa Nilitaka Kujua; Je, Tatizo litakuwa ni nini au Linasababishwa na nini? Kwa Sababu Ninazo HDD zingine Tatu Tofauti ambazo sio kampuni la SEAGATE huu mwaka wa 4 nazitumia ila hizi SEAGATE hazidumu hata mwezi mmoja kwangu..

Pamoja na Kuwa mi ni mtundu wa haya mambo ila Hapa nimechemka kuchanganua Hebu wajuvi mnisaidie mawazo yenu hapa tatizo lipo wapi? [emoji15] [emoji15].


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezijaribu na kwenye PC nyingine hazifanyi kazi?? Pia kiziweka Kama internal Hdd na kuinstall OS?
 
Labda bongo Seagate zinazoletwa ni fake, maana kwa wenzetu zina reviews nzuri kuliko transcend.

Fanya kuuza hiyo PC pia! Itaendelea kukutia loss tu. Mimi PC yangu ilikuwa inaua flash tu.
 
Nilinunua hdd western digital na seagate zote zimekufa within a month, nilichohisi sokoni itakua kuna fake hdds za kutosha... Nimepanga nikienda nunua next time ninunue only zenye QR Code, nascan pale pale kujiridhisha then nikatumie nione kama tatizo litaendelea.

Labda ujaribu na wewe hiyo njia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua hdd western digital na seagate zote zimekufa within a month, nilichohisi sokoni itakua kuna fake hdds za kutosha... Nimepanga nikienda nunua next time ninunue only zenye QR Code, nascan pale pale kujiridhisha then nikatumie nione kama tatizo litaendelea.

Labda ujaribu na wewe hiyo njia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilinunua hdd western digital na seagate zote zimekufa within a month, nilichohisi sokoni itakua kuna fake hdds za kutosha... Nimepanga nikienda nunua next time ninunue only zenye QR Code, nascan pale pale kujiridhisha then nikatumie nione kama tatizo litaendelea.

Labda ujaribu na wewe hiyo njia

Sent using Jamii Forums mobile app
Janga la hdd bongo ni kama Samsung tu kuna refurbished za kutosha, asilimia kubwa si mpya na ukitaka mpya kampuni kubwa bei ndefu, 1tb inazidi 150k.
 
Wakuu Habarini Poleni na Majukumu,

Ebana Nina tatizo hapa nahitaji msaada kwa yoyote mwenye Uelewa Zaidi juu ya Hili Jambo..

Juzi kati hapa mwezi wa Pili Nilinunua HDD mbili Zote TB 2 Kampuni ni (SEAGATE) na Kuweka katika mashine yangu.

HP ELITE DESKTOP Core i5 Hazikupita hata wiki mbili Zile HDD zikaanza shida na Mwisho wa Siku zikaandika IDE DEVICE FAILED na kuacha Kusoma kabisa, nilirudi Pale dukani nilipozi chukulia nikabadilishiwa Zile HDD (nilihisi zilikuwa ni Mbovu tangiapo) basi nikapewa Zingine Mbili za Hivo hivo SEAGATE. Lakini nazo Hazikumaliza hata Mwezi tatizo likajirudia kama zile za Mwanzo (lile duka wakagoma Kubadilisha tena ikabidi nizipaki tu)

Mwezi wa Tatu juzi tu hapa nikaagiza TB 2 Nyingine kutoka Mwanza zile za kwanza Nilichukulia Dar Basi ikaja nayo ni SEAGATE kama zile zingine, basi nimeitumia Mpaka leo jion Hivi Kuna Muda Desktop yangu ili Stuck nikaizima kuja Kuiwasha Pale katika boot ili iamke ukaja tena ule ujumbe kama kipindi kile IDE DEVICE FAILED Press F1 to Boot basi nika Press mashine ikawaka ila Ile HDD haikuonekana tena ndo ikawa imekufa hivo

Sasa Nilitaka Kujua; Je, Tatizo litakuwa ni nini au Linasababishwa na nini? Kwa Sababu Ninazo HDD zingine Tatu Tofauti ambazo sio kampuni la SEAGATE huu mwaka wa 4 nazitumia ila hizi SEAGATE hazidumu hata mwezi mmoja kwangu..

Pamoja na Kuwa mi ni mtundu wa haya mambo ila Hapa nimechemka kuchanganua Hebu wajuvi mnisaidie mawazo yenu hapa tatizo lipo wapi? [emoji15] [emoji15].


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukifungua bios unaziona hdd? Kuna bug fulani windows ukipiga windows mpya na ndani kuna HDD/ssd zaidi ya moja scatter file la kuboot linakuwa splitted kwenye HDD zote unatumia machine then baadae inaleta tabu as if HDD zimekufa, ukipiga windows tena mpaka ubadili ziende MBR
 
Wakuu Habarini Poleni na Majukumu,

Ebana Nina tatizo hapa nahitaji msaada kwa yoyote mwenye Uelewa Zaidi juu ya Hili Jambo..

Juzi kati hapa mwezi wa Pili Nilinunua HDD mbili Zote TB 2 Kampuni ni (SEAGATE) na Kuweka katika mashine yangu.

HP ELITE DESKTOP Core i5 Hazikupita hata wiki mbili Zile HDD zikaanza shida na Mwisho wa Siku zikaandika IDE DEVICE FAILED na kuacha Kusoma kabisa, nilirudi Pale dukani nilipozi chukulia nikabadilishiwa Zile HDD (nilihisi zilikuwa ni Mbovu tangiapo) basi nikapewa Zingine Mbili za Hivo hivo SEAGATE. Lakini nazo Hazikumaliza hata Mwezi tatizo likajirudia kama zile za Mwanzo (lile duka wakagoma Kubadilisha tena ikabidi nizipaki tu)

Mwezi wa Tatu juzi tu hapa nikaagiza TB 2 Nyingine kutoka Mwanza zile za kwanza Nilichukulia Dar Basi ikaja nayo ni SEAGATE kama zile zingine, basi nimeitumia Mpaka leo jion Hivi Kuna Muda Desktop yangu ili Stuck nikaizima kuja Kuiwasha Pale katika boot ili iamke ukaja tena ule ujumbe kama kipindi kile IDE DEVICE FAILED Press F1 to Boot basi nika Press mashine ikawaka ila Ile HDD haikuonekana tena ndo ikawa imekufa hivo

Sasa Nilitaka Kujua; Je, Tatizo litakuwa ni nini au Linasababishwa na nini? Kwa Sababu Ninazo HDD zingine Tatu Tofauti ambazo sio kampuni la SEAGATE huu mwaka wa 4 nazitumia ila hizi SEAGATE hazidumu hata mwezi mmoja kwangu..

Pamoja na Kuwa mi ni mtundu wa haya mambo ila Hapa nimechemka kuchanganua Hebu wajuvi mnisaidie mawazo yenu hapa tatizo lipo wapi? [emoji15] [emoji15].


Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kutumia SSD, NI teknolojia ya kisasa zaidi kwa sasa.
Screenshot_2020-04-22-09-45-41-895_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
Screenshot_2020-04-22-09-45-49-857_com.alibaba.aliexpresshd.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa unaziweka ndani ya pc. Tafuta makava uwe unazitumia kama external. Kama unanunuaga kubwa acha nunua zile ndogo za laptop.
 
Mkuu ukifungua bios unaziona hdd? Kuna bug fulani windows ukipiga windows mpya na ndani kuna HDD/ssd zaidi ya moja scatter file la kuboot linakuwa splitted kwenye HDD zote unatumia machine then baadae inaleta tabu as if HDD zimekufa, ukipiga windows tena mpaka ubadili ziende MBR
Yap kwenye Bios Disk zote unaziona, ila ikishaleta hilo tatizo haionekan Tena hio mbovu, pia kuhusu hio Bug nisha shuhudia mara kadhaa nikiweka Windows unakuta Kila Disk kuna Kiji (bat file) nimekisahau jina ila mwanzo kinaanza na bootsq..
nina Disk 5 huwa nakikuta kimeji create Kwenye Disk zote after installing windows

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ssd bado nina changamoto za kuziamini hasa zikiwa external kwa sababu zina tabia ya kupoteza data ghafla pasipo kutegemea. Nadhani bora zitumike kama internal hard drive ya laptop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom