King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,851
- 95,072
Heehehehehe
Tatizo wanaume mnadanganyana
Ukiwa na gari unawang'oa tu.... Kikowapi sasa
Ila jichunguze vizuri
Point Tiba.
Sikumshirikisha kabisa but i thought itakuwa surprise nzuri ambayo hata yeye angefurahi. Na kweli nilipomuonyesha alionyesha furaha sana na akashangaa ila ndo hivyo baada ya siku mbili tatu ndo akanitwanga na msg.
hukumshiriikisha wakati unanunua hiyo corolla?. shida inaweza kuwa ilianzia hapo.Mwaka tu nina corolla hauoni kama ni dalili nzuri!! Kweli nikikaa miaka mitatu na zaidi I won't go for rav4 nafikiri zaidi ya Rav4.
Mwaka tu nina corolla hauoni
kama ni dalili nzuri!! Kweli nikikaa miaka mitatu na zaidi I won't go
for rav4 nafikiri zaidi ya Rav4.
Hahaha! Wacha nicheke kwanza! Haya sasa wanaume mnaosema UKIWA NA GARI Unapata warembo wa mujini KIKOAAAAAAAPIII!!! Shuutu!! Mwanaume mgegedo asikwambie mtu! Pyeeeeeeee! Weee mhudumu nileteee nyingine....!! Hii wikend itaniua wallah ingefupishwa!!
Tatizo ni kukopa pesa benki ili ununue hicho kikorola badala ya kufanya jambo la maanaMwaka tu nina corolla hauoni kama ni dalili nzuri!! Kweli nikikaa miaka mitatu na zaidi I won't go for rav4 nafikiri zaidi ya Rav4.
Ameona hamuendani!!Tulipendana sana, akiwa UDSM na mimi MU na bado tulitembeleana bila kuchoka. Alibahatika kwenda nje ya nchi (a week school trip), aliniletea suit pamoja na ukubwa wake niliivaa. Mara ya kwanza kuvaa suit kanivalisha yeye.
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo steers mimi nikiwa sina kazi. Daladala tulipanda wote, bajaji tulipanda wote na hata kuswampa tuliswampa wote.
Nilipata kazi nzuri kabla yake ila later on na yeye alipata. Maisha yalibadilika yakawa more improved na penzi pia lilinoga.
A year later nikanunua gari, wiki moja baada ya kununua gari akanitumia msg 'eti tubaki marafiki'.
I didn't take it serious ila muda ulivyozidi kwenda ndivyo alivyomaanisha.
Baada ya kubembeleza sana bila mafanikio hatimae tukaachana kabisa.
Nimechunguza kwa kiasi fulani hana mwanaume mwingine....
Tatizo ni hili gari (corolla)au kuna kingine?