Mke mzuri sana na watoto wawili ninaowapenda sana, mimi si Igwe hadi miaka 53 bado anasubiri akue.
Umeniudhi sana mwone kwanza ndo nini sasa
Hata najichukia sana kwa hili, leo siku nzima sikuwa poa. Nipe hekima yako nawezaje kuirekebisha hii hali?
hata mimi mwenyewe najichukia sana kwa hili, leo siku nzima sikuwa poa. Nipe hekima yako nawezaje kuirekebisha hii hali?
6.kwa kuwa una namba zao za simu tuma msg kuwaeleza ulichokifanya kilikuwa na nia kujidefend baada ya wewe kuona mamluki,na sikweli kuwa ulitembea na huyo mwamanke, ingawa itakuwa ngumu kueleweka bt it might help kama bado wanaitaka hiyo ndoa!
huitaji kusikia vibaya now
jaribu kuongea nao tena
Angalia usije kuwaolea watoto wa mjini, miaka 53 lazima network inaanza kusumbua.
kuna vitu vingi vinajitokeza hapa
1. jamaa hajimiani na mkewe anahisi anytime wajanja watamuiba
2. mke wa jamaa ambaye yupo rita bado anamzimia ex wake(nduka)
3. jamaa mwenye mke rita ni macho juu juu so anaamini kabisa hiyo chance angepata yeye ya kudeal na x wake lazima angelala naye kwa hiyo anahisi the same will apply to his wife
4. ana wivu kupiliza may be he's obssessed
5. jamaa ameshindwa kusolve tatizo na mkewe kwa kukuhusisha wewe hadi kuwekeana vikao
6.kwa kuwa una namba zao za simu tuma msg kuwaeleza ulichokifanya kilikuwa na nia kujidefend baada ya wewe kuona mamluki,na sikweli kuwa ulitembea na huyo mwamanke, ingawa itakuwa ngumu kueleweka bt it might help kama bado wanaitaka hiyo ndoa
7. mkuu ndaku wewe ni nomaaaaa nadhani hiyo ndoa umeshaisambaratisha!
Ahahahahaah!! Bishanga umenikumbusha enzi za o level tulikuwa tunaongea maneno yasiyoeleweka tukijidai ni wazuri katika lugha ya malkia, hilo neno lilikuwa mojawapo!zis is kantankaras!!!!!!!!!!!!!!!
hapo ndipo nataka ushauri wenu, nitaanza vipi kuwatumia sms, wakati sijui hata wamepokeaje huu ujinga wangu.
Mkuu kuongea nao ni hatua ya kwanza kweli au nitafute mediator?
huitaji kusikia vibaya now
jaribu kuongea nao tena
mhhhhhhhh!..yaani hapo ndipo ninapokiri keli Mungu katuumba tofauti_maake mimi nilivyo na kislani hata ex_wa girlfriend wangu sitaki kukaa naye karibu(thanx God hata simfahamu na wala sitaki kujua habari zake..hope hata wenzangu wenye hulka kama zangu hawataki kujua).,,sembuse mwanamke niliyemuoa alete ex wake eti tuongee,.....yaaani sijui