EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Rafiki wa Mkeo ni mtu poa sana anakuokolea ndoa yako na kukuepusha na uzinzi
Wise words from a great thinkerTamaa mzee shida ni tamaa, hivi kwanini huwa mnapenda kusema wanaume sisi hatuwezi kuishi na mwanamke mmoja hiyo mentality aliekuambia nani, ulisikia wapi, jisemee nafsi yako mkuu, sema wewe huwezi kukaa na mwanamke mmoja, ni kujiendekeza tu
Mpaka unaingia na ushawishi unatamani umwambie aende akachepuke yes, ni kweli kwamba haya mambo ni namna mtu unavyoyachukulia, mambo ya kuchepuka ni hulka ya mtu tu, unaweza ukaishi na bila hata kutamani kuchepuka na maisha yakendelea, mwanamke ukiwa na mtoto halafu unalikuta li mwanaume huko limetamani hadi housegal linamla kuna wanaume wenzangu ni wachafu sana, hii tabia naikemea kabisaNa Mimi naunga mkono kuna wanaume niwaaminifu mpaka unatamani umwambie kachepuke.
Kaka yangu katika ubora wako...Mpaka unaingia na ushawishi unatamani umwambie aende akachepuke yes, ni kweli kwamba haya mambo ni namna mtu unavyoyachukulia, mambo ya kuchepuka ni hulka ya mtu tu, unaweza ukaishi na bila hata kutamani kuchepuka na maisha yakendelea, mwanamke ukiwa na mtoto halafu unalikuta li mwanaume huko limetamani hadi housegal linamla kuna wanaume wenzangu ni wachafu sana, hii tabia naikemea kabisa
Nikweli mkuu....Kweli kabisa.
Wanaume waaminifu wapo.
Na wewe msista wangu wa nguvu oleeee wako uniletee shemeji atakae kuumiza kisa amechepuka utanikoma , unajua wachepukaji ni rahisi sana kumjua, usithubutu ukaingia nae kwenye ndoa , shetani atatumia hiyo weakness kuwavuruga mpaka muwe machiziKaka yangu katika ubora wako...
Teh tehHakuna mwanaume asiemsaliti mke wake kwenye hii kauli yako mimi nitoe
waweke wanaume wengine mimi fanya kunitenga na dhambi cheap cheap hizo
nafanya zile heavy duty dhambi hivyo vidhambi vyakukosa la kujitetea badae sifanyagi asee...
Kasema mke wake anaumwa kila siku Hospitali bado ujaijua changamoto aliyonayo ndugu yetu, game hazichezeki. Kweli ndoa uvumilivu du.Omba msamaha na uridhike na mke wako,,hiyo tabia siyo
Halafu wewe,acha niishie hapa ila nahitaji maelezo yako marefu na ya kina.Teh teh
Ha ha ha ha hah yaani kuna wanaume wapoleee wastaarabuu mpaka huruma,Mpaka unaingia na ushawishi unatamani umwambie aende akachepuke yes, ni kweli kwamba haya mambo ni namna mtu unavyoyachukulia, mambo ya kuchepuka ni hulka ya mtu tu, unaweza ukaishi na bila hata kutamani kuchepuka na maisha yakendelea, mwanamke ukiwa na mtoto halafu unalikuta li mwanaume huko limetamani hadi housegal linamla kuna wanaume wenzangu ni wachafu sana, hii tabia naikemea kabisa
Halafu wewe,acha niishie hapa ila nahitaji maelezo yako marefu na ya kina.
Mwambie huyo,,,Kuna vitu ukifanya hata mkeo utashindwa kumtawala
Nadhani hii ni ndo sababu kuna mtu anaongea kauli moja na mkewe anamsikiliza na mwingine anaongea kauli kumi na bado mwanamke anapuuza...
Hata ukiwa malaya vip Inapaswa UKOME kumtongoza ndugu wa mkeo,rafiki zake,majirani na mtu yeyote ambaye mkeo anamjua.Hii ni dharau kubwa sana na matokeo yake utashindwa kumtawala mkeo nyumba itakuwa na wanaume wawili mda si mrefu Utasema A atafanya B.
Sasa wewe ni limbukeni haujaishia tu kwenye umalaya umeenda mbele zaidi ni mshamba wa wanawake si ajabu hata mdogo wa mkeo akikuchekea unaweza kulala nae.