ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,581
- 44,826
Mkuu naona unajitutumua kujibu kibabe dah😂😂Ni boya lakini limezama kwenye maji, asante kwa ushauri wako
umebadili id ukadhani sitokujua then umejinyamazisha bila sababu za msingi,nyau mmoja wewe.maelezo ya nini tena?
umebadili id ukadhani sitokujua then umejinyamazisha bila sababu za msingi,nyau mmoja wewe.
Usishindane na mtu mwenye degree nne,halafu hiyo ID hiyo ungeibadilisha kwanza ningejiskia raha kweli kweli inanitisha ujue.aaaah weeeee! aliyeanza kujinyamazisha ni nani?
sibadilishi ng'oo. Hiyo degree nne ndo ID nne sio?Usishindane na mtu mwenye degree nne,halafu hiyo ID hiyo ungeibadilisha kwanza ningejiskia raha kweli kweli inanitisha ujue.
Good, hizo ni tabia zake yeye wapo wenye hofu ya Mungu, hajui tu anavyoacha laana kwa vizazi vyake vyoteee. Ndo maana wanawake sometimes hatupendi kuvumilia shida na mwanaume manake akipata tu ni shidaaTamaa mzee shida ni tamaa, hivi kwanini huwa mnapenda kusema wanaume sisi hatuwezi kuishi na mwanamke mmoja hiyo mentality aliekuambia nani, ulisikia wapi, jisemee nafsi yako mkuu, sema wewe huwezi kukaa na mwanamke mmoja, ni kujiendekeza tu
Mtafutie kubwa kidogo.mpe kubwa alaf ulipo agiza chchtBoya wewe
We ona sofa tu, nakuhakikishia malipo ni dunian mbinguni ni hesabu tuuNashindwa kuwaelewa, hivi unaanzaje kukamatwa? Mie hapa nilipo nakula mdogo wa wife, na mchepuko wangu wa siku nyingi kabla hatujafunga ndoa! Ni family friend kabisa mpaka wanasaidiana kwa shida na raha, wife hajawahi hata kuhisi tu! Njoo inbox nikupe mbinu, hutakamatwa tena!
Ndio umfuate rafiki yake mpumbavu kama huyo anaachaje simu nnyumban kwako...anapataje nguvu kutembelea kwa shoga yake...Kasema mke wake anaumwa kila siku Hospitali bado ujaijua changamoto aliyonayo ndugu yetu, game hazichezeki. Kweli ndoa uvumilivu du.
Nimeagiza balimi mbili tu mkuuMtafutie kubwa kidogo.mpe kubwa alaf ulipo agiza chcht
Huyo kicheche ni mpuzi sana atajichafua mwenyewe na nafsi yake, hawezi kutumia mgongo wa wanaume sijui sisi ni wadhaifu sijui nini, kama kweli yeye ni kidume kweli madhaifu yake hayawi sijui shetani kanipitia, sijui sisi huwa hatuwezi ishi bila mchepuko ni ujinga, aseme nilitamani nikatongoza, sio kutafuta visingizio na kukosa kujiaminiHa ha ha ha hah yaani kuna wanaume wapoleee wastaarabuu mpaka huruma,
Afu kicheche mmoja anawachafua wote.
Mbona mimi sipati mwanaume wa ivoWengi sanaaaaa wapo tu mitaani wamejaa kibao wanaume bila mchepuko, nashangaa kauli za kusema sisi wanaume sijui nini, sisi wanaume tuko hivi hao sio wanaume ni aina ya mashetani tu, mwanaume unaanzaje kumsaliti mkeo tena na rafiki yake madharau ya kipuuzi hata shetani anashangaa.