mpoleeee
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 310
- 130
- Thread starter
- #41
Ungemjibu kwa PM, na kumuuambua kwa PM
Mliyaanzia kwenye PM
Mngeyamaliza kwenye PM
Kama unajua maana ya ustaarabu
Mwehu akikuponda ya yai vinza, na wewe uchukue yai vinza umponde???
Mbona wakati anaanza tu kukutongoza
Zile popoz zake zote za PM
Ungekopi na kupaste hapa
Nadhani umgemuumbua zaidi
Kwa sasa natafsiri hamkukubaliana terms tu
He was one of your interest
Hivi nachoma mafuta yangu na muda kumfuata bazazi??
Pia nakutafsiri unaweza kwenda extreme za ku-blackmail mtu
Kama umeamua kumuumbua kwa staili hii
Akchwali, umenitisha
sikuwezi wewe ndio wale wale. endelea kutoa povu lako. kikubwa msg dlivrd. bye