mr brocken
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 166
- 48
leo ktk shughuli zangu za hapa na pale za kujitafutia riziki nilipata deal la kupasua magogo ili kupata kuni wakati nikiwa kwenye zoezi hilo nilipasua gogo lililokuwa na mchwa wengi na ndani yake nikaona funza mkubwa mweupe asiye na miguu wala macho ila yuko kwenye chumba maalumu cha pekee kazungukwa na chenga ndogo ndogo zenye asili ya unga nadhani ndio chakula chake, wajuji wa mdudu huyo wakaniambia eti funza huyo ni malikia wa mchwa, sasa naomba wataalamu wa maisha ya mchwa wanidadavulie japo kdg maisha ya mchwa weupe,
karibuni sana siyo tukijua japo kdgo maisha ya viumbe wengine,
karibuni sana siyo tukijua japo kdgo maisha ya viumbe wengine,