SmAlL pDiDy. jr
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 392
- 133
Nakumbuka niliwahi kutoka na mdada mmoja hivi maeneo ya makumbusho....
Kwanza kabla hatujafika eneo la tukio nilimwambia live kuwa mfuko mfupi...kwa hiyo mbwembwe na mashauzi sitaki...akasema poa...
Mzee kufika pale maeneo mtoto wa kike kabla maongezi akaagiza heinken..nikasema leo kazi ipo..ikabidi mzee niagize pepsi bariiiiidi ili kuenda sawa na salio mfukoni...huku moyo unanienda mbio mara mtu wa jikoni huyo kaja utadhani kaitwa...anauliza oooh! niwahudumie nini...dah mtoto wa kike kike akaagiza kuku mzima na chipsi...duuh nikachoka kabisa....ikabidi mzee nivunge kuwa nimeshiba...wakati tunaendelea na maongezi kila saa simu yake iko bize kama custmer care.....huku kuku anamla kwa kumdonoa donoa kama mwewe....kabla hatujafikia muafaka ghafla naona simu yake inaita na yakafuatia maongezi kama ya dakika kumi hivi...mwisho wa maongezi ya simu nikaambiwa amepata dharula kwa hiyo anatakiwa aende...dahh!!...nikasemea kimoyo moyo ndio nishaliwa hivyo...ikabidi nimruhusu...
Roho iliniuma sana kumtazama kuku mzima alivyo donolewa ikabidi nichukue mfuko laini nimfunge nikalie ugali nyumbani...wanawake kweli majanga...
Ukitoka out na mimi basi jitahidi bill yako icheze around buku tano (tsh 5000/-) only! Ikizidi hapo jiandae kulipa mwenyewe!
Umefikiri kama mimi, money isn't an issue here. Tatizo ni miadi ya watu wawili tena wa kimapenzi, potelea mbali kama ingekuwa mambo mengine sioni shida...!
Wewe usiwasingizie wanawake wa changombe kwa kuwapa hiyo kasoro,hali hiyo inaweza kumtokea mtu sehemu yeyote, sema hukuja na pesa ya kutosha umeona ukimbie, na ulichofanya si kitendo cha kistaarabu, ungemuambia wazi huyo rafiki yako nimekualika wewe peke yako, kwahiyo umuache na uhuru wa kuamua atamlipia rafiki yake au wataondoka bila kula.Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
MmmhUkitoka out na mimi basi jitahidi bill yako icheze around buku tano (tsh 5000/-) only! Ikizidi hapo jiandae kulipa mwenyewe!
Nani aliemuambia mtoa mada kuwa dada asingechangia bill? Kwa sababu it seems hata hamjui huyo mdada.
Halafu mwanaume anaewaza kama wewe sidhani kama anapaswa kuoa aisee. Maisha haya, kuna mshkaji anaishi na mama wa mkewe na dada zake wawili. Maisha yamewagonga huko na mama ni mgonjwa, kuhudumia nyumba mbili gharama. Sasa kama first date tu unawaza bill, ukiona ndugu za mke si utakimbia? Linalokuepuka lina kheri na wewe
Here we dont talk about wife material,we just talk about hit and run kinda bit.chas.s
Kuhudumia ukoo wa mke wangu its fair and am supposed to do so
Swali linabaki vilevile vipi kuhusu hawa wenzie wanaojifanya wanajua kuhudhuria show zisizowahusu!!!!???
Ni bora angemtaarifu jamaa kuwa anakuja na mwenzie ili jamaa akae mkao wa kuchunwa.
huyo jamaa angelipa bill yake na demu aliemualika tu. ila kutoroka hata yeye sio mstaarabu.
Here we dont talk about wife material,we just talk about hit and run kinda bit.chas.s
Kuhudumia ukoo wa mke wangu its fair and am supposed to do so
Swali linabaki vilevile vipi kuhusu hawa wenzie wanaojifanya wanajua kuhudhuria show zisizowahusu!!!!???
Ni bora angemtaarifu jamaa kuwa anakuja na mwenzie ili jamaa akae mkao wa kuchunwa.
Hadi nimeona aibu Mwanaume unakimbia bill 29000 kweli???????
Katika hali ya kawaida kibinadamu sio rahisi. The best shot kwangu ni kukupa na kuondoka. Mtu anayejitambua angemtaarifu jamaa kuwa anakuja na rafiki yake. Hiyo ni date kiongozi, sio outing ya marafiki..
ila kutoroka ndio rahisi...kibinadamu???
Kutoroka sio rahisi na wala sio ubinadamu. The point hapa ni kama ni date basi ijulikane, kama ni outing basi ijulikane..! Swala la nani analipa, kwa wadada walio wengi ni la mwanaume...!
dah najaribu kufikiria 5000/- atakula na kunywa nini?? aaahh savannah moja na mshikaki mmoja...hatari.
dah umeniaibisha sanaa..29000 elfu mwanaume unakimbia,basi ulivyo ondokaa unakumbuka uliwaacha washikaji flani hivi pembeni ndo mimi na campani yetu.mademu walivyo ona hurudi na kukupigia cm wakacheka,wakaema huyu jamaa kweli ----,wakaomba kujoin na sisi asee walikupakaa kinomaJana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.