kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,057
- 2,163
Utazaaje wakati unatumia Condom ? piga kavu kavu Uone kama ataitoa mbona tumesoma na wajawazito kibaao na wamehitimu.
Yani hawa ndugu zetu, uishi nao kwa akili sana. Wengine atajishaua hadi kulia eti anataka mtoto, beba mimba uanze kuona nyota nyota. Wengine hadi mahari wamelipiwa, wakajua wamefika so wakabeba mimba, kalagabaho