Nimemtumia M-Pesa kanirudishia

Nimemtumia M-Pesa kanirudishia

ungemtumia kamilion hivi uone kama angekarudisha
 
Niliwahi tumiwa na mtu tigo pesa mara 3 hivi ikawa jumla ni 250,000 ndani ya miezi 3. Sikuwahi kuzitoa hata shilingi siku moja nikairudisha nakumuambia ' mtumie mama/baba hii hela hakika watafarijika sana siku nikianza kujiuza ntakuambia
 
Niliwahi tumiwa na mtu tigo pesa mara 3 hivi ikawa jumla ni 250,000 ndani ya miezi 3. Sikuwahi kuzitoa hata shilingi siku moja nikairudisha nakumuambia ' mtumie mama/baba hii hela hakika watafarijika sana siku nikianza kujiuza ntakuambia
Sio vizuri
 
Maana yake hiyo hiifadhi kwa ajili ya kulipia mali.Swali tafadhari!!
 
Kuna wanaume bado mnahisi pesa ni kila kitu kwa mwanamke..khaa!! Haukua na njia nyingne ya kusema na mwanamke zaidi ya kumtumia pesa??hata mimi ningerudisha..kwanza ningekuona umenidharau..wanaume hawako ivyo bana
 
Niliwahi tumiwa na mtu tigo pesa mara 3 hivi ikawa jumla ni 250,000 ndani ya miezi 3. Sikuwahi kuzitoa hata shilingi siku moja nikairudisha nakumuambia ' mtumie mama/baba hii hela hakika watafarijika sana siku nikianza kujiuza ntakuambia
Kabisa
 
Itakuwa umemtumia ndogo soo anaona kama umemdharau ..... siku ingine tuma hela ya maana utaona tu text inaingia asante!!!!
Hahaha mtu asiyependa hela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom