Sio vizuriNiliwahi tumiwa na mtu tigo pesa mara 3 hivi ikawa jumla ni 250,000 ndani ya miezi 3. Sikuwahi kuzitoa hata shilingi siku moja nikairudisha nakumuambia ' mtumie mama/baba hii hela hakika watafarijika sana siku nikianza kujiuza ntakuambia
Broo huyo mwanamke achana nae.... Huyo si mtu... Atakuwa ni malaika.... Sasa we pambana kama hujaambulia laana...




KabisaNiliwahi tumiwa na mtu tigo pesa mara 3 hivi ikawa jumla ni 250,000 ndani ya miezi 3. Sikuwahi kuzitoa hata shilingi siku moja nikairudisha nakumuambia ' mtumie mama/baba hii hela hakika watafarijika sana siku nikianza kujiuza ntakuambia