Hahahaha ..
Mvuto ni nini?? ...binadamu wote tunavutiwa wanaume na wanawake.
Wanaume wengi wanadhani vile tunavyovutiwa nawanawake nawao pia wanavutiwa nasisi ivoivo , a BIG NO .
Wanawake huvutiwa na wanaume kwa njia tofauti nasisi tuwavutiavyo.
Mwanamme utaangalia je huyu ana makalio ,anasura ,anamatiti mazuri??
Ila mwanamke haangalii hiyooo...( mademu pekee ndo wataangalia je anapesa,anasix pack,analips ) ....LAKINI MWANAMKE ANAYEJIELEWA HATOKAA ANGALIE IVO.
Sasa basi , kama unadhani huyo mwanamke utamvutia kwa pesa imekula kwako...
Kwa mwanamke pesa namali ni nyongeza ya mvuto wako kwake lakn sio kivutio kikubwa...Kuna midada inafanya kazi zamaana inamipesa yao , kasoma kwelikweli ,alafu uingie nagia yako ya pesa na gar?? Utaishia kupata mademu.
Chakushangaza utakuta siku moja ,uyo mwanamke anatoka namuhuni umemzidi kila kitu ,ila alichokuzidi yeye ni " Anajua mwanamke anataka nini".
Pole sanaaa, ukifuata vigezo namashariti ,neno Hapana litabaki kua msamiati kwa mwanamke yoyote utakayemtongoza.