Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 801
- 764
Kilo 5?? Unamaanisha 5000??Ss we km ulimtumia buku 2 lazima akurudishie, hiyo ni dharau umemdharau sana. Hebu fanya kumtumia kilo 5 tuone km atarudisha au vp then utuletee mrejesho hapa hapa
Kilo 5?? Unamaanisha 5000??Ss we km ulimtumia buku 2 lazima akurudishie, hiyo ni dharau umemdharau sana. Hebu fanya kumtumia kilo 5 tuone km atarudisha au vp then utuletee mrejesho hapa hapa
Hahhahaaa...umenikumbusha kipindi niko seco kuna ticha mmoja alimpenda duu mmoja hivi wa fom six aliyekua anabamba sana hapo shule...bas nasikia siku moja ticha akamrushia huyo dada vocha ya buku mbili....dahh huku na huku ticha anaona anarudishiwa buku 5 na mdada
Ilikua soo shule nzima!!
nahisi huyo ticha alihisi kuzimia sio kwa dharau hiyoYeah huendaa ulimtumiaa msg ulotoka kutoa so siombaya kukurudishiaaa so pambana na nyakat zakoKuna mwanamke nampenda jamani mpaka kula nashindwa,alafu yeye ndo hana ata time na mimi.Nampenda Balaa nimemueleza hisia zangu kanipiga kalenda,sasa leo asubui nimemtumia hela M-Pesa ya full tank mafuta lakini kairudisha.Hapa nilipo naona mapigo ya moyo yamebadilika.
Alipata aibu ya mwaka kwakweli!!![]()
![]()
![]()
nahisi huyo ticha alihisi kuzimia sio kwa dharau hiyo
Inawezekana alituma ndogo akaona amemdharau,,akarudisha.ulituma kiasi gani??
Mamako anakupa wewe unahonga?Ndo zinatoka kwao tena nizirudishe si wataniona nimewehuka.
umetuma shi ngapi, isijekuwa umetuma alfu kumi akaone mizengwe. ye kazoea milioni moja.Kuna mwanamke nampenda jamani mpaka kula nashindwa,alafu yeye ndo hana ata time na mimi.Nampenda Balaa nimemueleza hisia zangu kanipiga kalenda,sasa leo asubui nimemtumia hela M-Pesa ya full tank mafuta lakini kairudisha.Hapa nilipo naona mapigo ya moyo yamebadilika.
ww jamaa umezungumza kitu cha maana sanaMtumie mama yako hiyo hela
Uliza kwanza pesa yenyewe sh. ngapi?Sijawai ona mwanamke anarudisha ela huyu kiboko
Jamaa ameaibisha taasisi ya uanaume.. unaaanzaje kutuma pesa na hujampa mtu kisomo? mpe demu kisomo, mlishe falsafa zako aanze kukuelewa kwanza haya ya pesa ni baadae sana.. halafu wengine wana kazi zao nzuri hivo vihela mbuzi sijui vya mafuta wanapata zaidi ya mara mia.. udhaifu mkubwa sana huuHahaa.. Unazingua mzee. For no reason umetuma tu.
Money impress only cheap. Na wao wana akili
Ukute hajawahi kumtumia mama yake hata senti ya dawa.Mtumie mama yako hiyo hela