Nimemtumia M-Pesa kanirudishia

Nimemtumia M-Pesa kanirudishia

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Kuna mwanamke nampenda jamani mpaka kula nashindwa,alafu yeye ndo hana ata time na mimi.Nampenda Balaa nimemueleza hisia zangu kanipiga kalenda,sasa leo asubui nimemtumia hela M-Pesa ya full tank mafuta lakini kairudisha.Hapa nilipo naona mapigo ya moyo yamebadilika.
 
Unatumia pesa!😀
ila sidhani sana kuna ndege humu wanawindwa!
 
Aisee ujana huu, kuna manzi namfukuzia najua ananipenda sema she is playing hard to get ila hatakaa ale hata senti yangu mpaka nimlee, yani atalegeza tu taka asitake dadek zakeee.
 
mapenzi sio pesa, jitahidi kutia saundi wanawake wako very weak and emotional
 
Kuna mwanamke nampenda jamani mpaka kula nashindwa,alafu yeye ndo hana ata time na mimi.Nampenda Balaa nimemueleza hisia zangu kanipiga kalenda,sasa leo asubui nimemtumia hela M-Pesa ya full tank mafuta lakini kairudisha.Hapa nilipo naona mapigo ya moyo yamebadilika.
Broo huyo mwanamke achana nae.... Huyo si mtu... Atakuwa ni malaika.... Sasa we pambana kama hujaambulia laana...
 
Sasa Si bora ungeenda badoo Kule wana shida hela balaa
 
Umekosea sana kumtongoza mwanamke mwenye gari na maisha yake kwa kutumia pesa..kumpata itakusumbua sana..unaitaji darasa kuhusu kutongoza aina za wanawake..wapo wanaotaka pesa zako barabaran sio huyo jipange upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom