ushaniona tik tok !!???Ni kweli hana mume mwanaume kamili hawezi kutumia tiktok labda kama una share na mke wako lipstick
unaua bendiMke wako hajui kukataa ni mali ya watu wote
Mi naona we ni mjinga zaidi,yaani kujua mkeo siyo mwaminifu ni ujinga?kama tu ww ulivyo mjinga kutojua ujinga wa huyo boya uko wapi..... mafunzo ya kiume uliyaruka ukaingia darasa la kike...
Sasa kama haupo tiktok umetumia account gani kumtongoza? Au chai uliyoleta imekushinda hata mwenyewe?ushaniona tik tok !!???
we jamaa mi nakuona kama una akili na vile ni maarufu kumbe ni choko tu!!
Yaan maada ya msingi unaleta uchoko
Ukiwa huna akili jitahidi kuwa makini Nitarudia
“Niligundua kua mke wangu anapenda tik tok hivo nikafungua acc huko??
Kwaiyo ulitaka nifungue acc jf afu nimtext tiktok??
Akili kisoda hizi
😂😂😂😂 Sawa simple ila mambo ya kuitana furushi sijui...🤣🤣🤣
Unafikiri hata ni kazi baaasi!! Simple tu kitu tayari.
Uniafahamu vizuri TikTok? au unafahamu kuchat tu na kwenda Live?Ni kweli hana mume mwanaume kamili hawezi kutumia tiktok labda kama una share na mke wako lipstick
Si nimeitengeneza kwa ajili ya hiyo missionSasa kama haupo tiktok umetumia account gani kumtongoza? Au chai uliyoleta imekushinda hata mwenyewe?
mkuu umeelewa kweli?Kale mzigo kisha....
Muoe tena Mkuu, uwe nao(kina yeye) wawil
Achana nae choko huyoUniafahamu vizuri TikTok? au unafahamu kuchat tu na kwenda Live?
✌🏽Kazi kweli kweli.
ila ukiona mtu anaitwa poor brain !! Kweli inakua ivi ivo😂😂😂😂 Sawa simple ila mambo ya kuitana furushi sijui...
Sijapenda 😂😂😂😂
Ha ha haInaitwa Flirting wanawake wanapenda sana, especially mume au boyfriend wake ukiwa kauzu yaani haujawahi ata kumuita baby, kumsifia etc.
Wanawake wengi wanapenda kutongozwa tongozwa sana. Mtongoze ata kama ni mke wako.
Achana nae kuna watu humu akili zao visodaMi naona we ni mjinga zaidi,yaani kujua mkeo siyo mwaminifu ni ujinga?
Aisee... maana hata nchi hufanya vetting Kwa baadhi ya watu,bila wao wenyewe kujua kama wanafanyiwa vetting... Sasa wakimwambia mtu kua tunakufanyia vetting,si atafanya camouflage?
We mtu ni mjinga sana,nyie ndo mnaoa vituko ila hamjui.
Mkuu 😂😂😂😂😂ila ukiona mtu anaitwa poor brain !! Kweli inakua ivi ivo