Ila sisi binadamu ni mabingwa wa kutafuta majanga.Nina mpenzi wangu ambaye tumepanga kuoana apo badaye najulikana kwao na yeye anajulikana kwetu. Sasa huyu mpenzi wangu ana mdogo wake ambaye tulikuwa tunazoeana saana, na yeye ndo mtu ambaye nina ukaribu naye saana kuliko dada yake.
Sasa kwa bahati mbaya shetani alitupitia. Tukafanya vya kufanya. Madhara yake ndo haya ambayo yametokea
toka last week, mtoto wakike aliniambia haoni siku zake, na kwa bahati mbaya mwezi umeisha.
Nataka niulize
Kuna miezi ambayo wanawake wanapitaga tu bila kwenda kwenye siku zao? Maana nahisi kuchanganikiwa kinoma sijui nitaweka wapi sura yangu mimi!
Inategemea na umbali wa kwenda kwenye hizo siku zake. Kwani ulimpatia nauli ya kuendea huko?Nina mpenzi wangu ambaye tumepanga kuoana apo badaye najulikana kwao na yeye anajulikana kwetu. Sasa huyu mpenzi wangu ana mdogo wake ambaye tulikuwa tunazoeana saana, na yeye ndo mtu ambaye nina ukaribu naye saana kuliko dada yake.
Sasa kwa bahati mbaya shetani alitupitia. Tukafanya vya kufanya. Madhara yake ndo haya ambayo yametokea
toka last week, mtoto wakike aliniambia haoni siku zake, na kwa bahati mbaya mwezi umeisha.
Nataka niulize
Kuna miezi ambayo wanawake wanapitaga tu bila kwenda kwenye siku zao? Maana nahisi kuchanganikiwa kinoma sijui nitaweka wapi sura yangu mimi!
We are polygamist in natureIla wanaume aise..Ndio maana wanawake wengine wanaamua kuwa zao lesbians.
Anyway, kuna scenario kama hizo wanawake kuchelewa kuona siku zao..But kuliko kuendelea kusubiri hizo siki kwanini msipime mimba kwanza mjue mbivu na mbichi..
Issue kama yako ilimtokea my uncle..So akaamua kumuoa mdgo mtu aliyemtia mimba ila dadake aliumia sana.
Hio sura inawekwaje Kwenye mapumbuUtaweka sura kwenye mapumbu hata kama ndo ugawe mimba kwa ndugu wa mpenzi wako, hata wanyama wanajizuia![]()
Imehusisha jinsia 2Wanaume sijui mkoje wakati mwingine
Shetani anamambo yake kibao ya mhimu acheni kumsingilia huo ni uzinzi wenu kubali tu


Hahahaha hapa naona shetani amevua vest anakula tu upepo shemejiEvelyn Salt shemeji... pitia hapa uone yale mambo ya hainaga ushemeji...
😂😂😂😂 Nimecheka ulivyo malizia kuandika.nchaleeUmecheza ns team B kuifunga kirahisi hivyo ni kawaida.
Kapimeni kwanza halfu uje tukupe mbinu.
A.Dogo akatoe mbunye kimpango kwa mtu kiherehere apewe mwana, hii njia utaongeza dhambi na utaumia miaka yote
B.Muoe huyo dogo, kubali kusema
C.Muitoe.
4.Sema ukweli dogo azae, ulee mwana na ukose wote.
Ukichimama nchale, ukikimbia nchale
Pole sana kaka.