ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Habarini,
Nimeoa na nina mtoto mmoja! Tunapendana sana na mke wangu! Nampenda nami naamini ananipenda.... Mimi nafanya kazi fulani hapa mjini inayo tuingizia kipato mm na mke wangu na kuweza kulea mtoto wetu! Kwa mapenzi nilio nayo kwa mke wangu nimeamua asikaee tuu nyumbani idol nimeamua nimtafitie kazi ya kufanya ambayo ni kupeleka vinywaji kwa wateja! Katiba BAR fulani maarufu hapa Dar ipo maeneo ya sinza!
mke wangu amekubari kwa mikono miwili na kwa moyo mweupe kufanya hiyo kazi! kila ikifika sa 12 jioni wakati mimi ninarudi toka kazini yeye ndio huwa anatoka kwenda kazini hadi sa 9 usiku muda mwingine sa 11 ndio hurudi nyumbani kutoka kazini! Maisha ya Magufuli yamekuwa magumu sanaa nashukuru Mungu anacho pata mke wangu si haba tukichanganya na changu basi machango mdogo wa mama Unaonekana na Maisha yanaenda! Mimi mara nyingi hutumia mda wangu kumsisitizia mke wangu na kumuelemisha umuhimu wa kazi na uzuri wa kufanya kazi kwa Juhudi na weledi! kubwa zaidi huwa namsisitizia mke wangu kuheshimu kazi yake! Aheshimu kazi kama anavyo niheshimu mimi
Nina imani Mungu atatusaidia katika maisha yetu nasi siku tutakuwa watu katika watu! Nawasihi wanaume wenzangu msichague kazi na wadada acheni kuchagua kazi! kikubwa ni kujitambua
Ngoja nimjulie hali mke wangu anaendeleaje na kazi nitarudi tena.......
Nimeoa na nina mtoto mmoja! Tunapendana sana na mke wangu! Nampenda nami naamini ananipenda.... Mimi nafanya kazi fulani hapa mjini inayo tuingizia kipato mm na mke wangu na kuweza kulea mtoto wetu! Kwa mapenzi nilio nayo kwa mke wangu nimeamua asikaee tuu nyumbani idol nimeamua nimtafitie kazi ya kufanya ambayo ni kupeleka vinywaji kwa wateja! Katiba BAR fulani maarufu hapa Dar ipo maeneo ya sinza!
mke wangu amekubari kwa mikono miwili na kwa moyo mweupe kufanya hiyo kazi! kila ikifika sa 12 jioni wakati mimi ninarudi toka kazini yeye ndio huwa anatoka kwenda kazini hadi sa 9 usiku muda mwingine sa 11 ndio hurudi nyumbani kutoka kazini! Maisha ya Magufuli yamekuwa magumu sanaa nashukuru Mungu anacho pata mke wangu si haba tukichanganya na changu basi machango mdogo wa mama Unaonekana na Maisha yanaenda! Mimi mara nyingi hutumia mda wangu kumsisitizia mke wangu na kumuelemisha umuhimu wa kazi na uzuri wa kufanya kazi kwa Juhudi na weledi! kubwa zaidi huwa namsisitizia mke wangu kuheshimu kazi yake! Aheshimu kazi kama anavyo niheshimu mimi
Nina imani Mungu atatusaidia katika maisha yetu nasi siku tutakuwa watu katika watu! Nawasihi wanaume wenzangu msichague kazi na wadada acheni kuchagua kazi! kikubwa ni kujitambua
Ngoja nimjulie hali mke wangu anaendeleaje na kazi nitarudi tena.......