Kwanza pole sana kakaangu.Jizuie kufanya maamuz kwa kukurupuka, pili haina haja kulipiza kisasi kwani haitakua final solution ya tatizo, you just move on jifunze kutokana na makosa yako na utambue kwamba hiyo ni sehemu ya maisha ambayo ilikua ni lazima uipitie. Na usiweke the general rule kwamba wanawake wote wapi hivyo wanapendwa hawapendeki 'No' yupo mwanamke wa kwel atakaekuja kukupenda kwa dhati huyo hakya wako na ndio maana kaenda zake. Move on kaka, and keep in your mind life is always unfair so accept the consequences.