Nimemshitukia mke wangu

Mwenzio anataka ushauri si madongo kuwa mtu mwelewa
 
Hivi hizi nyumba watu wataenda nazo makaburini?

Wewe jenga tu si utaishi humohumo ikiwa yako au yake au yenu ni nini tofauti?
Hata KAMA HUIJUI KESHO UTAFIKA UKIWA MZIMA NI SHARTI UIWAZIE NA KUIPANGIA KALENGO NDUGU YANGU
 
Kiwanja ulichoandika jina la meanao wa nje ni cha mwanao

Kiwanja chako na mkeo kinatakiwa kiwe na jina lako au la mkeo, la mtoto ulompata na mkeo



 
Pole sana bro ila nikuulize swali kabla ya kukushauri jina la hicho kiwanja mmeandika jina la nani
 
Pole sana bro ila nikuulize swali kabla ya kukushauri jina la hicho kiwanja alichonunua mke mmeandika jina la nani
 
Yaani anunue kiwanja halafu aandike bwana na bibi? Hii kanuni mbona ngumu. Kiwanja nikinunua naandika jina langu tu jina lake litatokea kama amechangia. Kuandika jina la mtoto mmoja tu wakati unao wengi huo ni upendeleo unaoweza kuleta balaa baadaye.



 
kwani ilikuwaje hd ukampa mtoto wako viwanja vyote viwili, nadhani tatizo ndio limeanzia hapo....

Mkuu Sukula, wengi wanaingia kwenye ndoa bila kujua nini hasa maana ya ndoa. Kama mleta hoja ni Mkristo basi anasikitisha sana, yanayomkuta chimbuko ni yeye mwenyewe, inawezekanaje mtu yuko kwenye ndoa halafu ananunua viwanja kwa jina la mtu mwingine? Hiyo ndoa ni ya kujionyesha tu, sioni kama kuna ndoa hapo.

Vv
 

Mkuu, kwenye kiwanja kuandika Mr and Mrs inawezekana ila kwenye gari haiwezekani kwa kuwa TIN namba inatakiwa. Ni suala la makubaliano tu kama sheria hairuhusu majina mawili.

Vv
 
Mimi nashangaa mnamhukumu kuandika majina ya mwanae wa kabla ya ndoa wakati hajasema ni mazingira gani yalifanya amuandike mwanae.

Halafu kama wewe una mtoto kabla ya ndoa huwezi kumuandika kwenye mali yako yoyote?
Eti kisa mamaake itamuhusu????

Huyo mtoto wa nje ya ndoa kupata urithi ni sawa kabisa. Lkn alitakiwa agawanye pia kwa mke wake wa ndoa. Sasa kama anavyo viwili kwa jina la mtoto wake wa nje, kwa nini kimoja kisiwe chake na mkewe?

Vv
 
Yaani anunue kiwanja halafu aandike bwana na bibi? Hii kanuni mbona ngumu. Kiwanja nikinunua naandika jina langu tu jina lake litatokea kama amechangia. Kuandika jina la mtoto mmoja tu wakati unao wengi huo ni upendeleo unaoweza kuleta balaa baadaye.

Ni ubinafsi ndio unawasumbua wengi wengi, tena ni kutokujua nini maana ya ndoa.

Kama wanaume tunaweza kuwanunulia vimada nyumva na gari, inakuwaje vigumu kuandikisha mali kwa majina ya Mr and Mrs?

Tatizo wana ndoa wengi wako mguu nje mguu ndani.

Vv
 
Nawaza kati ya Mke wako na mtoto wako nani anapaswa kuaminiwa kwenye familia?
 
Jenga kiwanja ulichomnunulia mtoto, na andika majina ya watoto wako wote kama warithi,anaekuambia ununue kingine anajua hela unapataje?
La msingi warithi ni watoto wako wote,na wewe na mkeo muishi kwenye nyumba hyo,hataki aondoke,over
 
Priority yako nje ya ndoa ilitegemea akuone Wa maana huna akili ww
 
Hata KAMA HUIJUI KESHO UTAFIKA UKIWA MZIMA NI SHARTI UIWAZIE NA KUIPANGIA KALENGO NDUGU YANGU

Umekurupuka! nisome tena vizuri:

By FaizaFoxy

Hivi hizi nyumba watu wataenda nazo makaburini?

Wewe jenga tu si utaishi humohumo ikiwa yako au yake au yenu ni nini tofauti?
 
Jamaa mbinafsi

Katengeneza mwenyewe matatizo kwenye ndoa yake halafu anamlaumu mkewe

Mwanae angekuwa na kiwanja kimoja na kingine angeandika jina lale au la mtoto alozaa na mkewe

Lakini viwanja vyote 2 aandike jina la mtoto wa nje halafu mkewe atulie tu? Ndio kaamua nae atafute vyake sasa....amelikoroga alinywe



kwa nini viwanja uandike majina ya mtoto mmoja?




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…