Nimemshauri ampige chini

Katika maisha yako yote usije ukaingilia masuala ya mapenzi ya watu. Ukitaka kuingilia ni pale wameanza kupigana, waachanishe kisha endelea na mambo yako. Masuala ya kuachana, sijui kurudiana n.k waachie wenyewe. UTAKUJA AIBIKA
Kwahiyo ushauri wangu ni wa ovyo?
Ulitaka nimwambie je avumilie au?
 
Nipe namba zake za SIMU.......!

mimi nawaweza sana hao, napiga mashine akisha maliza kula TANGO
Namuacha lodge arudi kwa miguu....
 
Bas Kama walikuwa wanapimna si washamaliz....ajiongeze n yeye vingine simple hvy
 
We jamaa Big up Sana , Ila Sasa Hawa wanawake zetu n kuishi nao kwa taadhari tuu

One love
 
Nipe namba zake za SIMU.......!

mimi nawaweza sana hao, napiga mashine akisha maliza kula TANGO
Namuacha lodge arudi kwa miguu....
Kuna wanawake hawaingii Lodge.
Wala hawategemei usafiri wa jumuia wala kukodi na kupigwa mashine kwake ni kwa upendo tu si kwa sababu fulani ya kimaslahi.
Mkuu najua maisha yako magumu sana jitahidi ufike level fulani hutokuwa na mawazo kama haya uliyoandika.
 
We jamaa Big up Sana , Ila Sasa Hawa wanawake zetu n kuishi nao kwa taadhari tuu

One love

Kabisa, kile unachokifanya leo kwenye mahusiano kinaweza kuwa kikawa msaada ama Changamoto baadae kwenye Ndoa yenu.
 
WEKA MIPAKA KWENYE KUMSAIDIA KAZI MWANAMKE..!!

Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana inaonekana jamaa yako kamzoesha vibaya so mwanamke kashamchukulia poa na kuona kufanya hayo mambo demu anayomwambia afanye ni WAJIBU wa jamaa kumbe alifanya kwa roho nzuri tu ya kumsaidia. Inshort mwanamke akikuzoea sana ni shida nayo majukumu mengine bora yasifanywe kuliko kufanya mwanaume kila siku.
 
Ni mwanamke na wote wako 40s.
Rafiki yako wa damu akija kukyomba ushauri utamuuacha apogee kisa mambo ya chumbani?
Hata ndugu yako wa damu anaweza kukuchukia kisa mpenzi wake haya yalinikuta kwa issue za watu wanaolala chumba kimoja wakiwa bila nguo, I prefer 😷 unless nione kuna tishio la uhai
 
Duh!!
Huenda mie nitakuwa maskini sana , mana sijawahi kukutana na mwanamke halafu asioneshe elements flan flan za kuuza ,hao wenye magari yao ndo kabisa utaombwa hadi hela ya mafuta ya kujia hapo hotel , but very very indirectly .
Hesabu zangu zinaniambia hata wake zetu ,ukipiga mahesabu vizuri, wanatuuzia kiaina.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…