Nimemshangaa General Mirisho Sarakikya

Kutoa taarifa...

Sio kutoa Taarifa Ni kuomba ruhusa

Taarifa ya kutokuwepo Unatoa Nyumbani kwako kazini unaomba Ruhusa Na wao wanaangalia nature ya issue husika unayoombea Ruhusa

Yaan Mkeo kujifungua unataka ukae Nje ya ofis kwa Miezi mitatu?, ingekuwa Yeye ndio anazaa si angeomba Ruhusa ya Miaka miwili?

Huyo Dogo kauza Jimbo Au kawa Mzembe sio Kila kitu kulaumu

Siasa Ni Kama Mpira kosa lako Ni advantage kwa Mwingine
 
Na wewe hata lugha ya picha imekushinda.

Mkuu nimeangalia post yako namba moja nimebaki nacheka tu. Unamshangaa huyo CDF mstaafu tena ni mwanakijiji naona kama unamuonea tu. Sasa hivi CDF aliye madarakani alikaa kimya rais akipokea madiwani waliohamia ccm katika hafla ya kijeshi huko Arusha, tukio hilo likiwa mubashara mbele ya taifa zima, itakua huko kichochoroni kwa wazee wa kishili? Jeshi limetengwa kabisa na siasa kikatiba na CDF alikuwa kimya jeshi likinajisiwa itakuwa huyo CDF mstaafu?
 

Huenda mimi ndio sielewi, Nassari anatakiwa bungeni aonekane sura yake, au michango yake haionekani? Mfano profesa Muhonngo yuko bungeni? Umewahi kumuona akichangia? Huko bungeni nusu yao wapo kusaka sitting allowance tu ila hawana mchango wowote zaidi ya kujaza vyoo. Bunge lenyewe hilo dhaifu ndio la kwenda kuhudhuria muda wote? Kama una shughuli zako ni bora ufanye shughuli zako kuliko kwenda kupoteza muda kusikia bunge la kumsifia rais.
 

Tunajadili utetezi wake sio udhaifu wa Sheria Za Bunge

Yeye kasema aliandika Barua Bungeni nasi ndio tuna challenge ukweli wa Taarifa yake
 
Mbona unapanik kwa vitu simple sana, keep calm, maswali yako atayajibu kesho.
 
Hicho kikao kilikua cha Washili au NEC ya ccm ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajadili utetezi wake sio udhaifu wa Sheria Za Bunge

Yeye kasema aliandika Barua Bungeni nasi ndio tuna challenge ukweli wa Taarifa yake

Kichwa cha habari ni udhaifu wa General Sarakikya kuhudhuria kikao cha kisiasa. Mada sio utetezi wa Nassari. Usijifanye unajikita kwenye mada lakini za hisia zako.
 
Kwani Nassary kashasema ya upande wake ?

Kwanini usiweke akiba ya maneno ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Bado mnahamisha magoli! General Sarakikya asiongea chochote leo hii kama Nassari angepotea bungeni kwa miezi 5! Vikao 22 hayupo na hakutoa taarifa hadi 11th Hr tarehe 29 Januari 2019. Tena taarifa yenyewe kwa njia ya email na hakuna supporting documents zozote! Hivi mfanyakazi wako akipotea kazini kwa siku 22 utafanya nini?
 
Sema wameru CCM acha ujinga.
 
Kichwa cha habari ni udhaifu wa General Sarakikya kuhudhuria kikao cha kisiasa. Mada sio utetezi wa Nassari. Usijifanye unajikita kwenye mada lakini za hisia zako.

Kikao kilikuwa kinajadili issue ya Nassari Na Sarakikya akaenda Kama Mwananchi wa jimbo la Nassari sio Kama CDF Mstaafu
 
Kikao kilikuwa kinajadili issue ya Nassari Na Sarakikya akaenda Kama Mwananchi wa jimbo la Nassari sio Kama CDF Mstaafu

Mleta uzi hamjadili Nasari bali mjadala wake umejikita kwa Sarakikya kama CDF mstaafu kushiriki kikao chenye mtazamo wa kisiasa. Rejea post namba1 ya mleta mada. Kinyume na hapo umeanzisha mada yako ndani ya mada ya mwingine.
 
Mleta uzi hamjadili Nasari bali mjadala wake umejikita kwa Sarakikya kama CDF mstaafu kushiriki kikao chenye mtazamo wa kisiasa. Rejea post namba1 ya mleta mada. Kinyume na hapo umeanzisha mada yako ndani ya mada ya mwingine.

Mijadala ya Kisomi huwa tunaruhusiwa kuchepuka Nje ya mada kwa mita chache kuleta chachu Kwenye mjadala

Mijadala ya Chekechea ndio mnatakiwa mtembee Kwenye 'chaki' mwanzo Mwisho


Ulitaka comment ya mwanzo mpaka Mwisho iwe inasema Ni sahihi Au sio sahihi Sarakikya kuhudhuria kikao hicho?

Ninge jadili mambo ya Ethiopia Airline Au ya. Lipumba kushinda Uenyekiti ndio ningekuwa Nje ya mjadala

Hii Ni Mijadala ya Great thinkers
 

Rejea post yako namba 30, unakataa nini na unakubali nini.
 
Uenda ni njaa na mafaò hayatosherezi mahitaji yake

Au ndo mchawi anajidhihirisha kwa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…