yantuzu
Senior Member
- Dec 10, 2011
- 115
- 16
Hello wana JF wenzangu! Ndugu zangu kuna Binti mmoja nimekutana naye katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Ki ukweli sijaelewa hata ilikuwaje hadi akawa friend wangu, ila nakumbuka niliona tu friend request yake na mara moja nikamkubalia kuwa one of my friends. Mara nyingi huwa si-add watu ambao siwajui lakini kwa huyu sikufikiria mara mbili, mara moja nilimkubalia.
Niliangalia profile yake kama kuna "Mutual friend" lakini sijaona. Maramoja nilianza kuchat naye na nikagundua kuwa ni Single girl na mimi ni single boy hivyo baada ya kujuana kwa siku kadhaa nimejikuta nampenda sana yaani kiasi kwamba yakipita masaa mawili sijaongea naye nakuwa mpweke sana.
Bado hatujaonana face to face, na yeye ana wasiwasi kuwa pengine tukionana naweza kumtosa hivyo wakati mwingine ana-hestate kuwa na mimi full hadi tutakapoonana na kuongea, last wk ndio kamaliza Elimu ya University pale UD na wk 2 zijazo nitaonana naye maana atakuja huku mahali nilipo coz nimemtafutia job tayari.
Sasa ndugu zangu mawazo kwangu ni jinsi ambavyo ninamatarajio makubwa sana kutoka kwa yule binti, je kama atakuwa tofauti na ninavyotarajia nifanyeje maana nimekuwa crazy sana juu yake?? Je yeye ndiye? Hebu wadau mnisaidie mawazo hapo!!
Niliangalia profile yake kama kuna "Mutual friend" lakini sijaona. Maramoja nilianza kuchat naye na nikagundua kuwa ni Single girl na mimi ni single boy hivyo baada ya kujuana kwa siku kadhaa nimejikuta nampenda sana yaani kiasi kwamba yakipita masaa mawili sijaongea naye nakuwa mpweke sana.
Bado hatujaonana face to face, na yeye ana wasiwasi kuwa pengine tukionana naweza kumtosa hivyo wakati mwingine ana-hestate kuwa na mimi full hadi tutakapoonana na kuongea, last wk ndio kamaliza Elimu ya University pale UD na wk 2 zijazo nitaonana naye maana atakuja huku mahali nilipo coz nimemtafutia job tayari.
Sasa ndugu zangu mawazo kwangu ni jinsi ambavyo ninamatarajio makubwa sana kutoka kwa yule binti, je kama atakuwa tofauti na ninavyotarajia nifanyeje maana nimekuwa crazy sana juu yake?? Je yeye ndiye? Hebu wadau mnisaidie mawazo hapo!!