Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,268
- 1,267
Mi ndiye, yaani umeamua kunirusha JF!!!!!!
Kwi kwi kwi! Kesheku UNFRIEND kule FB, unaona sasa?Kwani lazima kila kitu chako ukipost humu bana?
Mi ndiye, yaani umeamua kunirusha JF!!!!!!
mh,mambo ya mtandao duh. . . kaka mahusiano ya style hyo ni ngumu kuendelea ku-exist. make kila m1 wenu ana imagination zake. yan ushamuumba hyo dada mpk na nguo ukamvalisha hadi make up ukampaka,cku ukikutana nae thn ukute ni tofaut na ulivyotarajia utakuwa very disappointed. we onana naye kwanza ndo utajua kuwa unampenda ama la. . . huez sema ur crazy over her kwa kuckia saut na kuona pics zake tu. u need to see each other first. . . talk face to face e.t.c. n-way all the best!
picha nimeiona lakini nilikatazwa na nyanya yangu nisishawishike na hayo maeneomimi mbona picha yangu ipo ...huioni hapo?
Hello wana JF wenzangu! Ndugu zangu kuna Binti mmoja nimekutana naye katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Ki ukweli sijaelewa hata ilikuwaje hadi akawa friend wangu, ila nakumbuka niliona tu friend request yake na mara moja nikamkubalia kuwa one of my friends. Mara nyingi huwa si-add watu ambao siwajui lakini kwa huyu sikufikiria mara mbili, mara moja nilimkubalia. Niliangalia profile yake kama kuna "Mutual friend" lakini sijaona..