Nimempenda msichana mrembo aliyezaliwa na HIV, nifanye nini?

Nimempenda msichana mrembo aliyezaliwa na HIV, nifanye nini?

ZILLIONAIRE

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2025
Posts
326
Reaction score
413
Wakuu habarini,

Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana kiki wala maigizo na ana heshima balaa.

Amenieleza ukweli kwamba anaishi na HIV tangu kuzaliwa. Anaendelea na dawa na ana afya nzuri.

Mimi nampenda kweli na niko serious, lakini bado najiuliza kama ni salama kumuoa na ni changamoto gani naweza kukutana nazo.

Naombeni ushauri wa kweli, tafadhali.

Asanteni!
 
Kuna jamaa aliwahi kusema huu msongo mkali wa mawazo wakitaifa umefanya kila kiijana kuwa comedian hapa bongo.

Ahsante kwa chai ya moto.

3d65096781e74b9c32cb450a7a62adfb~2.jpg
 
Wakuu habarini,

Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana kiki wala maigizo na ana heshima balaa.

Amenieleza ukweli kwamba anaishi na HIV tangu kuzaliwa. Anaendelea na dawa na ana afya nzuri.

Mimi nampenda kweli na niko serious, lakini bado najiuliza kama ni salama kumuoa na ni changamoto gani naweza kukutana nazo.

Naombeni ushauri wa kweli, tafadhali.

Asanteni!
KAMA UNA UPENDO WA DHATI UTAKUWA TAYARI KUFA NAE
 
Wakuu habarini,

Kuna msichana nimempenda kweli,ni mrembo mno, mwenye tabia ya upole na heshima. Shepu yake ni ya kuvunja kiti,kifuani chuchu sindano, nyuma mzigo amejazia wa maana kabisa. Hana kiki wala maigizo na ana heshima balaa.

Amenieleza ukweli kwamba anaishi na HIV tangu kuzaliwa. Anaendelea na dawa na ana afya nzuri.

Mimi nampenda kweli na niko serious, lakini bado najiuliza kama ni salama kumuoa na ni changamoto gani naweza kukutana nazo.

Naombeni ushauri wa kweli, tafadhali.

Asanteni!
Ni salama kabisa, wewe muoe tu kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom