ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,415
- 118,910
Hamna ubaya kwa kijana wa miaka 20 kuanza ku-date.
Cha msingi ni kuangalia malengo yako, kama unahisi dating itakuharibia future, basi hamna sababu ya kujishughulisha na mambo hayo. Kuwa na msichana sio lazima kufanya mapenzi, hayo ni makubaliano kati ya watu.
Kwani ni asilimia ngapi ya wanafunzi wa sekondari wanajihusisha na ngono, wao wapo above 20?
Cha msingi ni kuangalia malengo yako, kama unahisi dating itakuharibia future, basi hamna sababu ya kujishughulisha na mambo hayo. Kuwa na msichana sio lazima kufanya mapenzi, hayo ni makubaliano kati ya watu.
Kwani ni asilimia ngapi ya wanafunzi wa sekondari wanajihusisha na ngono, wao wapo above 20?