fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,031
Aaa sadaka sio shida ni lazima, lakini hio ya kutongozana ndo imeniwacha hoi:biggrin:.....hadi ofa ya sadaka wanatoa!!!!!
Aaa sadaka sio shida ni lazima, lakini hio ya kutongozana ndo imeniwacha hoi:biggrin:.....hadi ofa ya sadaka wanatoa!!!!!
Kwa umri huo umempenda ili iweje?
Aaa sadaka sio shida ni lazima, lakini hio ya kutongozana ndo imeniwacha hoi:biggrin:
Haya we toa tu:A S shade:ha ha ha "acha tu dia" usitoe nitakutolea.....!!!!!!!
ha ha ha "acha tu dia" usitoe nitakutolea.....!!!!!!!
dah! hivi matokeo ya form six ni lini tena jamani??
nilisomaga shule fulani ya kikristo,pale shuleni lilikuwepo kanisa na kuhudhuria kanisani ilikua lazima sio ombi.siku za ibada ilikua kama fashion show kwa wanafunzi wa kike mle kanisani,kila demu alikua akiingia na pigo zake,yaani kila demu anaeingia sie wanafunzi wakiume macho hayo toka mlango wa kuingilia hadi anapokaa.Hivi kanisani huwa mnaenda kusali au kutafuta wachumba, sikujua kama kanisani mnaweza kutongozana:biggrin:
Asije kuwa klein tu.
Ahhh safi sana ndo mana wenzetu wanaupenda ukristo kumbe mtongozano tu kwa kwenda mbele, lakini usiwalaumu hakuna hata mmoja anaye amini Yesu Mungu, wote wanajua Yesu ni binadamu ndo mana ukiwapa wanywe sumu wanakimbia, mana kama wanamini Yesu Mungu siwanywe sumu hawawezi kufa...Bibilia ndo inasema vile :biggrin:nilisomaga shule fulani ya kikristo,pale shuleni lilikuwepo kanisa na kuhudhuria kanisani ilikua lazima sio ombi.siku za ibada ilikua kama fashion show kwa wanafunzi wa kike mle kanisani,kila demu alikua akiingia na pigo zake,yaani kila demu anaeingia sie wanafunzi wakiume macho hayo toka mlango wa kuingilia hadi anapokaa.
Ikifika kipindi cha wiki la maombi ambalo hufanyika hata usiku,watu walikua wanafanya vituko,hata kula denda wakati watu wamefumba macho wakiomba.ilikua bonge la burudani.