nimempenda kanisani

nimempenda kanisani

Aisee mwl gfsonwin wewe ndio mwl wa klein kwa hiyo sitegemei kusikia klein ame fail jitahidi sana!

Daaah mwl wa kwanza wa mwanafunzi ni mzazi!
Na matokeo ya namna hiyo huwa yanaonesha kushindwa kwa
* mzazi
*mwanafunzi
*mwalimu.
Lakini sitegemei hii kutokea kwako!


mwali Klein form 4 mwaka huu subiri uone mwakani kama ntakuwa hata na nguvu ya kumsema mtu hapa.
mweeeh si unajaua kwamba ukifeli form 4 ni mbaya sana manake huna cheti cha kutumia??
 
Last edited by a moderator:
Aiseee wewe mtoto umekwenda kusali kweli?

Mpaka hii tume imalize kazi yake tutasikia mengi!
 
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui jina lake wala sina namba yake

Chunga tamaa mbaya.
 
Acheni kumtolea macho dogo. Kuna umri sahihi wa kupenda na kufanya ngono? Dogo mmendee kwenye misa ya mkesha wa pasaka fanya mambo.
 
Komaa naye mwaya

Hawezi kukuangusha kabisa, bora apate japo cheti

mwali Klein form 4 mwaka huu subiri uone mwakani kama ntakuwa hata na nguvu ya kumsema mtu hapa.
mweeeh si unajaua kwamba ukifeli form 4 ni mbaya sana manake huna cheti cha kutumia??
 
Komaa naye mwaya

Hawezi kukuangusha kabisa, bora apate japo cheti

mwali nimebuni mbinu mpya kwasasa naomba Mungu hii mbinu i work out.

kinachosumbua watoto wetu ni uwezo,wao wa kuelewa vitu na kujieleza sasa niemeanza kumfundisha namna ya kujieleza na kwamba namna ya kujua mbinu za mitego kwenye maswali.
 
Uzuri wewe ni teacher, angalau mbinu wazijua

mwali nimebuni mbinu mpya kwasasa naomba Mungu hii mbinu i work out.

kinachosumbua watoto wetu ni uwezo,wao wa kuelewa vitu na kujieleza sasa niemeanza kumfundisha namna ya kujieleza na kwamba namna ya kujua mbinu za mitego kwenye maswali.
 
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui jina lake wala sina namba yake
Mkifeli shuleni, tunasumbuka kuunda tume. Kodi zetu zinateketea, kumbe sababu zipo wazi. Soma, hata kama haupo shule jibiidishe ulipo!
 
taja kanisa,muda 2kutane thn unioneshe nikakuchukulie namba hat ya mama yake?

Hahahahahahhaha jembeeeee noma hata ya bi mdanga sio kama vp mie utaniachia ya bi mkubwa nichat nae kwa whatsapp.......
 
Kijana hujamaliza hata shule unaanza kukimbia na dada zako? Si usome hizo K haziishi,kila kukicha anazaliwa mzuri. Miaka yako ni ishirini,labda yeye ni 16-18 bado ni wanafunzi. Kama sijakosea haujamaliza form six ama umemaliza juzi. Kuna ubaya gani ukimwacha mwenzio akamaliza pia? Na baadaye ukamtafuta?
 
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui jina lake wala sina namba yake

Endelea kuhudhuria ibada na kuwa makini na mahubiri ya mchungaji, utajua cha kufanya tu
 
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui jina lake wala sina namba yake

Endelea kuhudhuria ibada na kusikiliza mahubiri ya mchungaji kwa makini, utajua cha kufanya
 
Dogo tafuta dira ya maisha kwanza, kwa umri wako hayo mambo yatakukimbiza hadi uwe chizi.
 
Albert Einstein once said "You can't blame gravity for falling in love."
 
Hivi kanisani huwa mnaenda kusali au kutafuta wachumba, sikujua kama kanisani mnaweza kutongozana:biggrin:
jaman macho hayana pazia mchumba anapatikana popote. .cha muhimu wasitongozeane kanisani.
 
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui jina lake wala sina namba yake

Dogo, kwanza kama unampenda Yesu Kristo Mwana wa Mungu Aliye Hai, huna budi kufuata taratibu za kanisa ambazo ni uwazi na ukweli, kwanza, mwambie Mchungaji wa vijana, au mzee wa vijana, kuhusu hilo, na yeye atamfikishia ujumbe huo, au mwambie mama mchungaji au mama mlezi wa wasichana kanisani, huna budi kuwa wazi kwa kila jambo hapo ndo utampata lkn kwa Uwazi na ukwetu tu.
 
Kumbuka pia 20yrs ww ni mdogo sana bado, wacha ukuwe mdogo wangu mambo yakumpenda in 20ies je yeye anaumri gani? utamchoka haraka sn.
Kuwa kwanza soma kwanza utaja yakuta haya mdogo wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom