Nimempenda binti mmoja

Nimempenda binti mmoja

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Kuna tatizo nimeukwaa naombeni ushauri wenu kwani niko njia panda nilijiunga chuo mwezi januaru lknh huko nilikutana na binti mmoja mrembo sana tulibadilishana nae mawazo na namba za simu kila wakati nilikuwa nimwambia ya moyono amezingu miezi yote hiyo alafu leo kaniambia laif mmcfai kwake amejionyesha kwangu jion hii kuwa ana maboy friend wazuri na wanahela mm nampenda sana sjui nifanyeje
 
Hivi hii ni sentensi moja au ni aya moja inayoundwa na sentensi moja?
Jaribu kuedit ndio tuendelee kuchangia.
 
Kausha kiongozi.Komaa na shule hao mabinti wapo tu
 
Kabla sijakushauri naomba niulize swali,hv ulivyoamua kwenda chuo ulienda kwa ajili ya kutengeneza future au kutongoza wasichana.maana nakushanga badala ufate kilichokupeleka,kwani huko mtaan hapakua na wasichana.mi nafikiri hujawahi kupata shida ya maisha.all the best.
 
Stop fantasies! Angekuwa alikukubalia baada ya kula vyako na kukupa ahadi tu kisha akakutamkia hivyo ungesemaje? Yeye kakuzingua siku zote, si ina maana hakupendi? Kumpenda mtu sio lazima akupende. Mateso unajiletea mwenyewe.
 
hivi unajua unapomwambia mtu umeukwaa inamaanisha nini wewe
 
Kuna tatizo nimeukwaa naombeni ushauri wenu kwani niko njia panda nilijiunga chuo mwezi januaru lknh huko nilikutana na binti mmoja mrembo sana tulibadilishana nae mawazo na namba za simu kila wakati nilikuwa nimwambia ya moyono amezingu miezi yote hiyo alafu leo kaniambia laif mmcfai kwake amejionyesha kwangu jion hii kuwa ana maboy friend wazuri na wanahela mm nampenda sana sjui nifanyeje

kwa uandishi huu utakimbiwa na hata mwajuma ndalandefu...!
 
kijana kama ulivyoandika ndivyo unavyoongea, basi tu jitahidi kusoma kwa bidii then utafute pesa zako za maana!

otherwise... no money no service!
 
Hivi hii ni sentensi moja au ni aya moja inayoundwa na sentensi moja?
Jaribu kuedit ndio tuendelee kuchangia.

halafu eti ni msomi wa chuo, ila potezea tu mwana we mpe maushauri afanye nn...
 
ivi hivi vyuo mnavyosema hapa ni vya cherehani..? Maana hata kuandika hujui,utawezaje mmudu binti?
 
mkuu huyo moyoni mtoe kabisa ila machoni zuga kama unaumia sana na kumpenda kupita kiasi ipo siku hao mabasha pesa zake watamtenda tu na unaweza pata nafasi ktk kumfariji....isipokuwa kama ana kiasili cha ukahaba
 
Soma we kijana allah vijana wadogo mnang'ang'ana na kizigo dunia imekwisha hii ndio maana ndege zinapotea mazingira ya utata
 
Kama kakutolea nje sasahivi achana nae we piga shule alafu atakuja baadae ukifanikiwa!!!!
 
Hivi hii ni sentensi moja au ni aya moja inayoundwa na sentensi moja?
Jaribu kuedit ndio tuendelee kuchangia.
Hivi mods wanasoma hizi thread za maneno yalokatwa katwa? Imekuwa kero hapa Jf, tuanzishe mgomo kuchangia thread zenye uandishi kama huu! Ni kero, maudhi, utoto, ......., mods futa, tupa delete kabisa
 
Back
Top Bottom