Nimempenda binti mmoja

Nimempenda binti mmoja

Kwa thread hiyo ni wazi kuwa kwenu uwezo ni mdogo. Halafu hii fursa uliyopata ya elimu unaichezea. Naomba nikushauri. Mwammke uliye darasa moja nae ukimuoa akiwa na watoto watatu utamkimbia ukubwani!. kuoana watu wa umri unaokaribiana sana ni chanzo cha nyumba ndogo. Ruhusu 5 to 8 years gape. Wazuri ni wengi mbona? Bado subiri uingie second year uangalie first year walivyo boma. Acha ujinga somaaa.
 
Nitakupenda kwa moyo wote na m/mungu nisaidie
 
Kuna tatizo nimeukwaa naombeni ushauri wenu kwani niko njia panda nilijiunga chuo mwezi januaru lknh huko nilikutana na binti mmoja mrembo sana tulibadilishana nae mawazo na namba za simu kila wakati nilikuwa nimwambia ya moyono amezingu miezi yote hiyo alafu leo kaniambia laif mmcfai kwake amejionyesha kwangu jion hii kuwa ana maboy friend wazuri na wanahela mm nampenda sana sjui nifanyeje

samahan kaka eti,una umri gani?!.
 
Back
Top Bottom