Nimempenda baba yake zaidi

Wacha Bendera ifuate upepo, sijashangaa kwa girl kufall kwa mbaba hivyo do yo thing
 
Uwe unawapa wote maana kila mtu anautundu wake. Sioni sababu yoyote ya kuwabania hao makamanda!
 

Kwahiyo ndiyo kusema kuwa hata hapo ulipo sasa hivi umeshajipizia kabla hata huyo Baba hajakubandua na Mkuyenge wake?
 
Kesho kutwa ukikutana na rafiki ya baba wa huyo rafiki yako na kum-perceive kuwa ni more good-looking zaidi ya huyo mzee basi utataka kuhama tena.

Kuwa mtulivu na huyo mtoto. Kama mtoto ni wa baba basi ubaba humo ndani ya mtoto.
Du asante mkuu, lakini bado ninapigana na nafsi hapa.
 
Kwahiyo ndiyo kusema kuwa hata hapo ulipo sasa hivi umeshajipizia kabla hata huyo Baba hajakubandua na Mkuyenge wake?
Mkuu nitakuletea taarifa kwa sasa niko njia ya panda sielewi nipite kulia au kushoto. Ninadhani nitawapoteze wote iwe rahisi kwangu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…