Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ila umri unakuruhusu kudanganya watoto wenzio. Ila Mungu kakunyima mshipa wa aibu... huna haya kabisa...ndio uwon kama nimefata process zote
Ila umri unakuruhusu kudanganya watoto wenzio. Ila Mungu kakunyima mshipa wa aibu... huna haya kabisa...ndio uwon kama nimefata process zote
Kumbe ana diary kabisa humuUna vituko si haba:-
i. Una miaka 23 na una mtoto mmoja (at this age)
ii. Tarehe 10.08.2016 ulitaka kujua kama una mimba (hivyo ulikuwa unasex bila ndom)
iii. Tarehe 23.08.2016 Unalalamika kuwa upo kwenye ndoa na mme wako hakujali anajinunulia nguo yeye
iv. Tarehe 09.09.2016 Unatafuta mpenzi
v. Leo unathibitisha umempata mpenzi anayekupenda
Nawasilisha
Hainaga UshemejiHebu tuambie id yake ili tumheshimu shemeji yetu
Ila umri unakuruhusu kudanganya watoto wenzio. Ila Mungu kakunyima mshipa wa aibu... huna haya kabisa...
Duh kwa utaratibu huo basi soon tutapata mrejesho mwingineUna vituko si haba:-
i. Una miaka 23 na una mtoto mmoja (at this age)
ii. Tarehe 10.08.2016 ulitaka kujua kama una mimba (hivyo ulikuwa unasex bila ndom)
iii. Tarehe 23.08.2016 Unalalamika kuwa upo kwenye ndoa na mme wako hakujali anajinunulia nguo yeye
iv. Tarehe 09.09.2016 Unatafuta mpenzi
v. Leo unathibitisha umempata mpenzi anayekupenda
Nawasilisha
Shikamoo babuShika na wewe mjukuu...
Hawajambo wachumba zako?
Nashukuru Mungu wapo salamaShika na wewe mjukuu
Michepuko yako haijambo?
Safi sana mjukuu...Nashukuru Mungu wapo salama