Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,088
- 69,622
SASA ULITEGEMEA NINI HAPA? YOU REAP WHAT YOU SOWyule binti alikuja nikamnywesha pombe na hatimaye nikala uroda naye kavu kavu
LEA MIMBA HIYO NA KUWA MKWELI TU, KULIKO KUKIMBIA DAMU YAKO
SASA ULITEGEMEA NINI HAPA? YOU REAP WHAT YOU SOWyule binti alikuja nikamnywesha pombe na hatimaye nikala uroda naye kavu kavu
Hivi kama una mwanamke umemsaidia mwanzo wa mimba hadi mwisho mtoto akazaliwa baada ya mwaka ukaona utofauti mtoto hafanani na wewe baba sio rangi wala morphology, ukachukua maamuzi ya kumwambia mama mtoto mkapime DNA halafu yeye hataki, hii tafsiri yake nini kwa nyie wanawake?Kapime DNA
Mtoto si wakoHivi kama una mwanamke umemsaidia mwanzo wa mimba hadi mwisho mtoto akazaliwa baada ya mwaka ukaona utofauti mtoto hafanani na wewe baba sio rangi wala morphology, ukachukua maamuzi ya kumwambia mama mtoto mkapime DNA halafu yeye hataki, hii tafsiri yake nini kwa nyie wanawake?
Jamaa akienda zamu usiku, wewe unajivinjari. Wewe usipokuwepo, jamaa akiwa zamu, kuna mlevi mwingine pia anafanya yake, si pombe ndo umesema imewaunganisha sio?
Sasa uhakika wa kuwa huo mzigo wa dhambi ni wako unautoa wapi?
Ila kuna mambo ukisoma yanasikitisha sana na kuumizaa. Sijapenda hakika. Kwanini umfanyie hivyo rafikiyo? Where is the loyality? Unless otherwise unachangamsha genge tuu mkuu
Hivi kama una mwanamke umemsaidia mwanzo wa mimba hadi mwisho mtoto akazaliwa baada ya mwaka ukaona utofauti mtoto hafanani na wewe baba sio rangi wala morphology, ukachukua maamuzi ya kumwambia mama mtoto mkapime DNA halafu yeye hataki, hii tafsiri yake nini kwa nyie wanawake?
Na rafiki yako kaambiwa mimba ni yake si umesema anapenda pesa na anasa, atakuwa anatoa matunzo na wewe una ambiwa utoe matunzo. Akili kichwani.
Tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi, dhambi ikiishaa kukomaa, huzaa mauti.Dhambi inaingiaje hapo, mimba au mtoto?
Nikiwa mkubwa sihitaji marafiki.