Nimempa ujauzito mamdogo wangu

Nimempa ujauzito mamdogo wangu

Dah sasa hapo c sawa na mama yako maana wameshare ziwa na mamako katubu laana izo pia hivyo unavosikia sio kwamba unampenda ila shetan kakufumba macho to atakuumbua cku mja we subir
 
Dah mkuu... unawakati mgumu.
Hivi kweli umekosa wanawake wote mpaka ukamfuata mamamdogo wako??

Halafu seriously kabisa unasema "Ila binafsi bado namtaka na ninapenda kuendelea kufaidi mbunye yake manake ameumbika sana mama mdogo wangu na siwezi kuachana nae kwani mapenzi anayonipa hakuna anaeweza kunipa "

Which shows kwamba hujutii wala kushtuka unayoyafanya, wewe unahofu kwamba kapata mimba tu, ila la wewe kugegedana na mamamdogo wako wala halikupi wasiwasi!

Achana na hayo mambo, there are many women in the world who can give you anachokupa mamamdogo wako and more. So futa kabisa hiyo kauli ya kwamba hakuna anaeweza kupa mapenzi anayokupa mamamdogo wako.

This should be a wake up call. Mpaka sasa ushajitafutia laana zisizona msingi.
wakuu tufundisheni hizo bold basi
 
wakuu tufundisheni hizo bold basi

Unafanya hivi.

2017-02-07_02-08-30.gif
 
Habari za muda huu wana MMU,
Twende moja kwa moja kwenye kiini cha uzi huu,

Awali nilitoaga uzi unaosomeka NIMEZAMA KWENYE PENZI LA MAMDOGO WANGU ,
Jamani sitaki kuamini kuwa ni mimi niliefanya mapenzi na mamdogo wangu kwa kile alichoniambia leo,

Nikiwa nimetoka kuoga nikachukua simu yangu ndipo nilipokuta message ya mama mdogo iliyosomeka hivi " Mambo Dola nina ujauzito wako ili sijamwambia mtu yeyote ukipata muda nipigie tujue nini cha kufanya".

Kiukweli wakuu nimechanganyikiwa sana ila nimepata wazo nimwambie nimtumie pesa akatoe mimba manake ni jambo la aibu sana mtoto atakapozaliwa anafanana na mimi kiukweli naogopa sana kwani ninaweza kutengwa na familia ,

Ila binafsi bado namtaka na ninapenda kuendelea kufaidi mbunye yake manake ameumbika sana mama mdogo wangu na siwezi kuachana nae kwani mapenzi anayonipa hakuna anaeweza kunipa,

Naombeni ushauri wenu waheshimiwa , Je nifanye nini ili niweze kumaliza hili tatizo bila ndugu zangu kujua?,

Natamatisha.
Huyu inabidi aende selo bila shaka atakuqq anatumia madawa ya kulevya,hii sio akiri ya mtu mzima asiye tumia mihadarati.
 
Tangaza ndoa vuta jiko tia ndani kabla wajanja hawaja kuwahi.
 
Kosa limeshafanyika na bado unaendelea kulifanya kutokana na umbile na utamu wa mamako,sasa kwa ushauri wangu wa kijinga kama wewe ulivyo toroshaneni mkaoane mbali na upeo wa watu mnaowaheshimu au kuwaogopa!!! Nyambafu.
 
"...wanadamu licha ya kuwa viumbe wenye wenye mfumo bora wa ufahamu ,kuna nyakati hufanya mambo bila ufahamu.."

Charles Darwin:
 
Habari za muda huu wana MMU,
Twende moja kwa moja kwenye kiini cha uzi huu,

Awali nilitoaga uzi unaosomeka NIMEZAMA KWENYE PENZI LA MAMDOGO WANGU ,
Jamani sitaki kuamini kuwa ni mimi niliefanya mapenzi na mamdogo wangu kwa kile alichoniambia leo,

Nikiwa nimetoka kuoga nikachukua simu yangu ndipo nilipokuta message ya mama mdogo iliyosomeka hivi " Mambo Dola nina ujauzito wako ili sijamwambia mtu yeyote ukipata muda nipigie tujue nini cha kufanya".

Kiukweli wakuu nimechanganyikiwa sana ila nimepata wazo nimwambie nimtumie pesa akatoe mimba manake ni jambo la aibu sana mtoto atakapozaliwa anafanana na mimi kiukweli naogopa sana kwani ninaweza kutengwa na familia ,

Ila binafsi bado namtaka na ninapenda kuendelea kufaidi mbunye yake manake ameumbika sana mama mdogo wangu na siwezi kuachana nae kwani mapenzi anayonipa hakuna anaeweza kunipa,

Naombeni ushauri wenu waheshimiwa , Je nifanye nini ili niweze kumaliza hili tatizo bila ndugu zangu kujua?,

Natamatisha.
kizazi chenu kililahaniwa! ndio maana mtu na mama yake mnafanya mapenzi! ulivyo kuwa ukifanya ulikuwa hujui kuwa lengo kubwa la kufanya ngono ni kutafuta mtoto?
 
..Infact You are Not serious,hayo ni matokeo ya upumbafu wako use that same brain to decipher that puzzle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom