Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000

Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000

Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000/= baada ya kuongea na boss Mad Max akaniahidi kupata kigari cha bei nafuu nikaamua nikuze mtaji kwa kuweka mechi za uhakika tu.

Nikazama Salamba, nikanunua tips, nikaona nisiweke mkeka wote, nikauchambua nikaona mechi hii nikampa Spain mazima.
Polee mkuu mechi za mwanzo mwanzo huwa hazitabiriki sana
 
Hii ni kahawa

Yan ubet 1,724,000 kwa odds 1.08 acha kutuokota mkuu yani upate faidi 100k 😂😂🚮🚮🚮
 
Odds zilikuwa hivyo maana yake ulitaka upate sh ngapi baada ya kuweka hiyo stake ya 1,724,000?
1,724,000X1.07=1,844,680

Yaani 120,000 ungenunua gari gani wewe kijana acha uongo
Screenshot_20260615-215312.png
 
Ungana na mwezako Mwaki kutoka studio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom