katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
- Thread starter
- #21
Sikuwa nimetulia aisee kipindi hicho sitaki kikumbuka bado humu giza , visa , yaani acha tu maisha ndio yalikuwa hivyoo ila kwa sasa napata hiyo hiyo hiyoKwa Mara ya kwanza ninaelewa uzi wako tangunianze kusoma nyuzi na comment zako leo umeandika vizuri sana uko nyuma shida ilikuwa nini mpaka kushindwa kuandika vizuri?