Nimemkumbuka Meja Jenerali Mbuge, yuko wapi?

Mwamba alipanda vyeo kwa kasi ya 5g chini ya utawala wa hayati Magufuli.

Alikuwa anapendwa sana na hayati Magufuli, kwenye dili za ujenzi alishiriki sana na vijana wake wa JKT.

Sasa hivi yuko wapi?
Hivi ndiye huyu aliwatolea watu bastora baada mtoto wake kugombea Ubunge kupitia viti maalum UVCCM, zikamtoka milioni 600 lakini bint akaambulia zero votes?
 
huo ndio ukweli kutoka kuiongoza JKT ... hadi alipo sasa hivi ni 🥴🥴🥴.. ila ndio ivyo unakalia tu bench.. unabaki naa story.. kutokea hapo hakuna mahala ataenda zaidi ya kusubiri kustaafu.. ila pia kawasaidia vijana wengi...
 
Inamaana Tvs imewaka?
 
Nashukuru sana

binafsi kanifanyia Ihsan kubwa sana sana sana na Mola amlipe.

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Namjua Afande kuwa Kiroho ni Mtu mzuri, mwema na amesaidia Wengi mno ila tatizo lake Kubwa ni Gambe na Mbunye na hivi Viwili ndivyo Vilimmaliza kutokana na Dossiers zake zilizoenda Magogoni na Chamwino na Kuondolewa.
 
Ishia hapo hapo mkuu, imetosha mwishoe utanitajia na pisi yangu pale kwa Mwamposa
 
Ndio maana mnaambiwa msiwe mnatukana wazee mtawehuka.. Dar hujawahi kufika halafu eti msimbazi centre .. msimbazi centre ya n'gwanoko?
 
Ndio maana mnaambiwa msiwe mnatukana wazee mtawehuka.. Dar hujawahi kufika halafu eti msimbazi centre .. msimbazi centre ya n'gwanoko?
Na ndiyo maana nimekuita Makusudi ili niendelee Kukusanifu na Kukudharau na ulivyo Boya na Pimbi umekuja Kweli. Wewe Jamaa ni Mpumbavu na Mshamba sijawahi Kuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…