ukuwi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 769
- 1,271
Nilikuwa nazingua tu mkuu.wasiofahamu mkuu
Nilikuwa nazingua tu mkuu.wasiofahamu mkuu
Acha upuuzi wewe,wimbo gani ule?Huyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
Kwa msiofahamu huyo chalii ni mtoto wa BANZA STONE
sio Taifa bali EA nzima..wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi waliucheza dressing room baada ya kutoa sare na Mali ugeniniKuweni serious basi... Iokote wimbo wa taifa!??
Sijawahi ikubali hii nyimboHuyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
Huo wimbo mbayaaaa ninauchukia sana.Huyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
😂😂Kuweni serious basi... Iokote wimbo wa taifa!??