Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,144
- 27,112
Huyu jamaa imekuwa kawaida kwake sasa kila akiona ngoma ipo trend basi ataidandia na kuforce remix.
Sasa hivi majuzi baada ya kudandia wimbo wa Dayoo unaitwa Huu mwaka, raia wakamkalia kooni kwamba toka atoke WCB ni kama kapoteana, hivyo inambidi aende na upepo.
Kinachoshangaza zaidi jamaa ni kama kajaa upepo, maana kule insta ni mwendo wa kujitetea tu kwamba anasupport madogo,lakini watu bado wanahoji kwanini asiwasupport kwa ngoma mpya na sio kusubiri ngoma zihit yeye ndo adandie.
Ikafika muda kila comment ya shabiki akawa anaijibu, hapa ndo nilipogundua kwamba jamaa hana huo ukubwa anaojivika kwenye huu muziki!
Sasa hivi majuzi baada ya kudandia wimbo wa Dayoo unaitwa Huu mwaka, raia wakamkalia kooni kwamba toka atoke WCB ni kama kapoteana, hivyo inambidi aende na upepo.
Kinachoshangaza zaidi jamaa ni kama kajaa upepo, maana kule insta ni mwendo wa kujitetea tu kwamba anasupport madogo,lakini watu bado wanahoji kwanini asiwasupport kwa ngoma mpya na sio kusubiri ngoma zihit yeye ndo adandie.
Ikafika muda kila comment ya shabiki akawa anaijibu, hapa ndo nilipogundua kwamba jamaa hana huo ukubwa anaojivika kwenye huu muziki!