Huyo mwizi alikuwa anaiba mtaa upi hapa Geita?MMMH usndanganye
Mkuu hawa wajinga wanarostisha sasa hivi mi nimekuwa na roho ya ki mexicoWe jamaa ni hatari zaidi ya simba , kuna binadam bora ukutane na simba
Nao wawe wezi?Mngechukua na za ziada ziwafae baadae
Wewe ni shoga?
Hii ni chai kama chai nyingine kama haitakuwa na pichaInashangaza na inaskitisha...
Ilikua ni majira ya usiku saa saba na ushee usinigzi uligoma kabisa nilikuwa naumwa, tumbo lilikuwa linasokota nikatoka nje kuskilizia maumivu, sasa nikiwa nmekaa kwenye maua yaliyostawi niliona kwa jirani yangu taa za nyumba yake zimeanza kuzima moja baada ya nyingine.
Baadae hapo hapo kwa jirani kulikuwa na taa kubwa ameiweka nyuma ya nyumba nikamuona mtu akielekea kuifuata hiyo taa alipofika eneo ilipo huku mimi nausoma mchezo, taa ilikuwa juu zaidi taa ilizima ghafla jamaa alikua ameshikilia ndoo ndogo ambapo akitoa taa anatumbukiza kwenye hiyo ndoo na fimbo ndefu yenye kimduwala juu
Fimbo imefungiwa chupa la maji lililokatwa likawa na shimo hakuna taa inayoruka ina maana taa inasonteshewa fimbo inakandamizwa na kuchekecha kidogo basii taa inakua imetoka inabakia kwenye li chupa
Basi alitoka hapo nikamuona anaelekea kwangu moja kwa moja nyuma ya nyumba nikafuata taratibu amekalia kuangalia taa nikatokea nyuma yake nikamkaba nikamwambia TULIA UTAKUFA akawa mpole akaanza kujitetea, kwanza karibia mtaa mzima ukua giza utafikiri hatuna luku.
Nikachukua tukaongozana kwa jirani nikamuita jirani akaamka akauliza kuna nini usiku huu? Nkamuuliza hauna luku mbona giza, akasema mbona taa za ndani zinawaka labda zitakua zimeungua, nikawambia huyu hapa mwizi wa taa zako.
Jamaa alipigwa vichwa viwili akaulizwa huwa unapeleka wapi alijibu fasta huwa napeleka machimboni nauza bei ndogo, anasema ikijaa ndoo ndogo ninayozunguka nayo mitaani naenda kumimina kwenye ndoo kubwa (diaba) nililolipaki sehemu, aisee tulimpiga tukaongozana akatupeleka lilipo lindoo likubwa, taa zilikua nyingi kwakweli.
Tukaamua tumpeleke police tukiwa njiani kuelekea huko njiani tukawekwa chini ya ulinzi na walinzi wa mitaani tukaelezea mwanzo mwisho wakatuelewa maana kidhibiti alikua nacho mwizi, tulirudi kulala walinzi tukawakabidhi mtu huyo ndio walimpeleka polisi.
Yuda Exalioth
Natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.
Huo ni wezi kama wizi mwingineMngechukua na za ziada ziwafae baadae
Unavyofikiri ata akipelekwa polisi je watamtaka awapeleke nyumba hadi nyumba ili walioibiwa warudishiwe?Huo ni wezi kama wizi mwingine
Tumbo nilipona kabsa, kwa mshituko niliokuanao nilivyomuona anatoka kwa jirani kuelekea nyumbani kwangu
ndipo nilijihisi kusisimka mwili kama natembelewa na nyoka mgongoni tumbo likajawa hofu kama mtu amekoswa kugongwa na gari , tumbo sjui lilipona mda gani
Mi siji huko viazi vyenu kula mwenyewe, kwanza vina sumu kutoka migodini, nisije kupata kansa mieNyie balbu hua hamnunui!? hua mnawashia nini?
njoo ule viazi