nimemit na my x b/friend

nimemit na my x b/friend

Status
Not open for further replies.
Ila mkuki kwa nguluwe...mfano we Mankaa ungemsikia mmeo kafurah kakutana na X wake ungejisikiaje?au unadhani yeye hana past?
Wakati mwngne tujitahd kuwatendea watu tusivopenda kutendewa
 
Kama una ujasiri wa kumuaga mumeo japo kwa simu na kumuambia im meeting my ex flani sehemu flani, basi nenda. Na umsalimie.
 
huyo my x hana mke bado na hayo ya kumuita kitombi wakosea

Kwahiyo kwakuwa hajaoa ndo hawezi kuwa kitombi? Libolo lake halisimami? Nenda mrembo waeza kuta si rizki anataka umtafutie bwana.
 
Kwahiyo kwakuwa hajaoa ndo hawezi kuwa kitombi? Libolo lake halisimami? Nenda mrembo waeza kuta si rizki anataka umtafutie bwana.

Kusimamisha anasimamisha vzr tu sema siwe Mvulia cz naw nmebinafsishwa
 
Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
mbona unataka kiniaibisha dadaangu maanka, muheshimu shemeji yangu uyo x wako atakutumbukiza kaburini dada muheshimu mmeo.
 
Kumegwa huku mnafika mbali me nmesemea dinner tu



Mkuu kumbuka ni jamaa yako ambaye
tayari ulishamvulia ngua pia ulisema
hamkuachana kwa ubaya !!

Je akikupa 100000/- sarafu tupu halafu
akazimwaga chini si utainama kuokota
moja moja hapo sasa Waswshili husema


"Moja moja ilimshinda Kuku kudonoa"
maana yangu ni kuwa utampa utamu tu.
 
Kusimamisha anasimamisha vzr tu sema siwe Mvulia cz naw nmebinafsishwa

Hebu tuambie kwa uzoefu wako, yeye na hubby wako nani mtamu na mtaalam kitandani? Vipi wale maex wako wengine wengi ukikutana nao wakakualika dinner hotelini utaenda au utakuja tena kutuomba ushauri?
 
mmmmmmmmmmmh ndoa hizi za karne hii zimekuwa ndoana, ingekuwa rahisi Yehova akuoneshe mkeo ili asimkumbuke x wake kwa kuwa hakuwa nae ingekuwa faraja, ukipenda onana nae ila ukumbuke mla cha mtu na chake huliwa.
 
Yani kwa kusema tu "my ex boyfriend" tayari ushazingua neno sahihi ni "aliekua boyfriend" wangu kwa kusema "my ex boyfriend" uki construe vizuri inaonesha u kinda want things to go on thats my view..
 
Boifrend mmepotezana mwaka moja uliopita, ndoa mmefunga mwaka mmoja uliopita. Kwa hesabu za haraka kuna kipindi ulikuwa unamegwa na wote wawili. Kilichokufanya ukaamua kuolewa na mme usiompenda ni nini hasa?
Dah kaka umemkamata vizuri! kama vile ungekuwa wakili yani skupatii kwenye cross examination witness lazima alie.
Either her story is cooked or your theory is true.'
 
Taasisi ya ndoa lazima iheshimiwe. Hivi vijidada vya miaka 24 ni majanga matupu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom