Crystal clear
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 809
- 339
d
umeshakuwa mke wa mtu ya nini uhatarishe ndoa yako. je wewe mumeo angekucheat na ex wake ungejisikiaje? huyo hana lolote atatembea na wewe then atakuachaHabari bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??