TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
Mume wangu nampenda na huyo kijana nlikuwa nampenda cz alikuwa mate wangu.
Mkumbushie basi.
Mume wangu nampenda na huyo kijana nlikuwa nampenda cz alikuwa mate wangu.
Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
Ndo ile michezo dady niende?
Kama wanawake wa kuoa ndiyo hawa! heri kutooa milele.
Hahah afu anaomba ushauri kama akafurahi naye kwenye dinner hotelini. Why not lunch kwenye mgahawa?
Nways ndoa za siku hizi ni bora liende.
Ha ha ha, akafurahi yeye hadi na wewe ukafurahi?
Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
Kama anataka kukumega kwa vidole nenda....ila kama anataka kukumega na kile kidole kingine kisicho na kucha wala hata usiende
we nd wasema garasha my hubby ananpenda kifupi kafika na najitambua na kujiheshim syo like wafikiriaNakuunga mkono mkuu. Mme wa huyu dada ameoa garasha. Eti ndoa ndo kwanza ina mwaka mmoja. İkifika kumi watakuwa wameshamlima maex wake wangapi?
usiende mtakumbushiana afu itakuwa si sawa
Sio tu mume asiempenda pia kwann aolewe bado mdogo na akili zake za kitoto si angesubir subir huyo X wake aje amuoe?kilichombilisha kuolewa angal bado ana feelngs na X wake n nn?Boifrend mmepotezana mwaka moja uliopita, ndoa mmefunga mwaka mmoja uliopita. Kwa hesabu za haraka kuna kipindi ulikuwa unamegwa na wote wawili. Kilichokufanya ukaamua kuolewa na mme usiompenda ni nini hasa?
^^
Hawa ndio wake mnaotaka...?? Umalaya
^^