nimemit na my x b/friend

nimemit na my x b/friend

Status
Not open for further replies.
Kinachonifurahisha kwa hawa watu (ke) ukisha mgegeda ndo bas tena hata mkiachana miaka kadhaa mkikutana unashika mkono tu. Ilimladi muwe hamkutengana kwa bifu.
 
Hapo kwenye bold umesema indirectly lakini kauli yako inamaanisha, "Nina hamu ya kugegedwa." Pole sana


Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??
 
Ndo ile michezo dady niende?

Kama anataka kukumega kwa vidole nenda....ila kama anataka kukumega na kile kidole kingine kisicho na kucha wala hata usiende
 
Majanga majanga
Nikifurahi na wewe utafurahi afu tu meet chumbani aalfajiri?

Hahah afu anaomba ushauri kama akafurahi naye kwenye dinner hotelini. Why not lunch kwenye mgahawa?

Nways ndoa za siku hizi ni bora liende.
 
Duh.

Yaani mfuniko na kopo
Una mumeo tayari unajisogeza kwa X wako
unadhani atakuacha hivi hivi si lazima utampa?

Ukimwi hautakwisha jamani.
 
Habari
bas leo katka pita pita zangu c nkamit na my x boyfrnd..acha afurahi bas had na mie nkafurah coz ni kama 1year hatujaonana bas tukaongea apo wee mara wazidi kuwa mrembo full kunishika mkono, mara y nlibadilishaga namba e.t bas nkampa tena my contact bas naw cancol et tumit smwhere for dina n stor
Wadauz hatukuachana kwa ubaya kuna kitu tulitofautiana tyu..now am a some one wife ushaur kuna tatizo kujumuika nae. my mume yupo mbali time ninayo ntakuwa nakosea??

acha umalaya umesha olewa unachataka kufanya ni usaliti acha kabisa jiheshimu wewe ni mke wa mtu dinner hizo ziliwafaa kabla hujaolewa sasa basiiiiiii!!!!
 
Kama anataka kukumega kwa vidole nenda....ila kama anataka kukumega na kile kidole kingine kisicho na kucha wala hata usiende

Ndo madhara ya kuoa vibinti vidogo ambavyo havijui maisha ni nini.
 
Nakuunga mkono mkuu. Mme wa huyu dada ameoa garasha. Eti ndoa ndo kwanza ina mwaka mmoja. İkifika kumi watakuwa wameshamlima maex wake wangapi?
we nd wasema garasha my hubby ananpenda kifupi kafika na najitambua na kujiheshim syo like wafikiria
 
Boifrend mmepotezana mwaka moja uliopita, ndoa mmefunga mwaka mmoja uliopita. Kwa hesabu za haraka kuna kipindi ulikuwa unamegwa na wote wawili. Kilichokufanya ukaamua kuolewa na mme usiompenda ni nini hasa?
Sio tu mume asiempenda pia kwann aolewe bado mdogo na akili zake za kitoto si angesubir subir huyo X wake aje amuoe?kilichombilisha kuolewa angal bado ana feelngs na X wake n nn?
Ndoa za siku izi Mungu asimame tu
 
Ukisikia mume wako anamega usije omba ushauri huku. Ila kamegwe tuu siku hizi ndoa hamna. ni kama cheti cha shule lazima kila mtu apite
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom