Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 737
Ila kwa mbali naona una kafuraha baada ya kusikia kadem kalikokutosa nako kametendwa
Ila ndo kupona kwenyewe huko, MUNGU akutie nguvuHapana mkuu!!! Sijui Niko njia hip lakin naona kipindi hicho kama ulikua ni utoto tuu!!
Sijui lakin!!?
We acha tu mkuu!!!!Sijui kwanini hakunaga wa kuziba ule upendo wa mwanzo
Ubinadamu ni kazi sana kuelewana kati ya mtu na mtu. Huyu anampenda mpaka anataka kujiua, hamtaki! Anayemtaka, anamkung'uta mpaka anamtia kilema na kumtoa jino, na hana muda wa kumhudumia!Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:
Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!
Ule upendo ulikua wa Aina yake..aijapata tokea kwangu mpka Leo hii!!..
Nauhakika nilikua fala!!!....J'' ~Ulinikaribisha dunia hii ya upendo ..
...imag
Hii single inatoka lini mkuu nikusaidie kui promote?Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:
Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!
Ule upendo ulikua wa Aina yake..aijapata tokea kwangu mpka Leo hii!!..
Nauhakika nilikua fala!!!....J'' ~Ulinikaribisha dunia hii ya upendo ..
Mbona Jei😁
| J kamshika papaya. Simjui but I bet she is short in height. Ogopa sana wanawake wafupi. |
Alikufanya huyo umbwa mkuu.Haya mapenzi yalifanya kidogo niwe chizi manina zake yule mbwa
Single TenaHii single inatoka lini mkuu nikusaidie kui promote?

Siku yaja ..Sijawahi kuwa heartbroken siongelei sifa ila huo ndio ukweli naapa kwa Mungu na mademu nishawahi kuwa nao wengi tu na nishaachwa sana tu na kupenda napenda
Shida ni nini ? Au nitakuwa na tatizo nini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hamna labda ndio nilivyoumbwa.Siku yaja ..

Yani huyo J ni mtu mbaya sana😁😁😁
J kamshika papaya. Simjui but I bet she is short in height. Ogopa sana wanawake wafupi.
Hakika. Na kujua kwao kupenda ndio mwiba. Siku akimua kujinasua ni ghafla sana na huwezi kubaki Salama. They have something special thats what I can say.