madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 322
- 386
Nimemiss kusikia Love stories zenu...
Umewahi kumpenda kimyakimya? yaani unaona hii ngoma siiwezi, siyo level zangu hizi, yaani unateseka ndani kwa ndani. Na unateseka hasa! Ulimwambia au ulinyuti tu?
Umewahi kufanya kituko sababu ya mapenzi juu ya mtu? ulifanya nini? labda kutoroka kazini/shule ili ukamwone, au kuua marehemu ili upate upenyo?
Umewahi kumkataa mtu kwa nguvu zote halafu mwisho ukaangukia hapo hapo? Kama yule Subira Mangumi?
Umewahi kuumizwa, umewahi kuumiza au kuingizwa mjini mwisho ukajuta? Kuna mtu alitoka mkoani akaja Dar, aliachiwa msala wa kulipia hoteli aliyokaa siku tatu. Hakuamini!
Umewahi kumkimbia mtu uliyepanga kukutana naye kwa mara ya kwanza? kwa nini ulikimbia?
Umewahi kukutana na mkasa gani kwenye mapenzi/ uhusiano hutakaa usahau
Wenye stori mnipe michapo na mimi leo nisome stori za watu... Wale wapita kimya kimya, ukipita kimya uvimbe masikio.
Umewahi kumpenda kimyakimya? yaani unaona hii ngoma siiwezi, siyo level zangu hizi, yaani unateseka ndani kwa ndani. Na unateseka hasa! Ulimwambia au ulinyuti tu?
Umewahi kufanya kituko sababu ya mapenzi juu ya mtu? ulifanya nini? labda kutoroka kazini/shule ili ukamwone, au kuua marehemu ili upate upenyo?
Umewahi kumkataa mtu kwa nguvu zote halafu mwisho ukaangukia hapo hapo? Kama yule Subira Mangumi?
Umewahi kuumizwa, umewahi kuumiza au kuingizwa mjini mwisho ukajuta? Kuna mtu alitoka mkoani akaja Dar, aliachiwa msala wa kulipia hoteli aliyokaa siku tatu. Hakuamini!
Umewahi kumkimbia mtu uliyepanga kukutana naye kwa mara ya kwanza? kwa nini ulikimbia?
Umewahi kukutana na mkasa gani kwenye mapenzi/ uhusiano hutakaa usahau
Wenye stori mnipe michapo na mimi leo nisome stori za watu... Wale wapita kimya kimya, ukipita kimya uvimbe masikio.